MENISON
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 726
- 622
Acha uongo mkuu Raymond anafanyia TPDC Somanga Mtwara.uyo wa pili baada ya Aude alikua anaitwa Raymond Aidani ndio aliyechukua magamba yote pale kibaha wakat wa graduation lakin bahat mbaya necta akawa wa pili kitaifa jamaa baada ya kua wa pili akadhaminiwa na kampuni ya simu kwa sasa Airtel lakin Mwenyez mung anamipango yake Mr Raymond Aidan akafariki mwaka 2015 baada ya figo kufeli Rest in peace bro!
Yupo hai hajafa ukitaka namba yake ntakupa.