Ma-super star wa jf...!!

hahahahah
ohhh address yangu ni ile ile
si badilishi ng'oo em tuma chop chop..
tayari niko kwenye letter box.. 🙂

Sema sasa hujaniambia unataka nini...
Niambie vitu vitatu alafu mi ntachagua kimoja!!
 
Hata mie nipo kwenye list, sema jina langu lina kauchungu flani hivi kuliandika tehe
Add Bombu there, lol
raha jipe mwenyewe ati!
 
Nilishawahi kusema hapa bila mpangilio wowote kama ifuatavyo:
  1. Afrodence-excelence ideology
  2. Ashadii-excelence mind, and quick responce kwa kila comment
  3. Husninyo-same as above
  4. Mwanakikjiji-anatumia ubongo kufikiri na wala sio masaburi
  5. MwanaJamiiOne-same as above
  6. Smile-huyu anagonga like kama hana akili nzuri vile
  7. Dena Amsi-sasa hivi anapoteapotea kiaina
  8. The Finest- Huyu mara nyingi anakeshaga bar,Fidel80 na The Boss
  9. Asprin-Huyu kaunta za juu za vilezi humkosi, nadhani ni paparazi huyu bwana
  10. Lizzy-nadhani huyu ni JF celebrity mwenye umri mdogo sana MMU
  11. Gaijin yuko same status na Eng Nsiande
  12. Rutashubanyuma-huyu bwana wa copy na paste, anatujuza mengi sana hapa jamvini
  13. Rejao-Mh huyu member mi mwenzenu simwelewi
  14. MziziMkavu-sounds like doctor, lakini yupo kiasili zaidi kama mganga wa kienyeji vile
  15. Sikonge na Waberoya-hawa mambwana hawa, we acha tu.
  16. Katavi-nilisema na ninasema, huyu bwana ana mwaka wa 3 humu jamvini, post zake hazizidi mistari 2, ni very short post
  17. Game Theory-He like CIA-haonekani siku hizi jamvini
  18. Mwita25-mwana mpotevu, kaongoka siku hizi
  19. .....
  20. .....
  21. ......


 
Sema sasa hujaniambia unataka nini...
Niambie vitu vitatu alafu mi ntachagua kimoja!!

dahhh
na list ndefu kweli...
tukienda kule ntakwambia mpaka ukimbie.. hhahaha lol 🙂
 
The Finest, Afrodenzi, DenaAmsi, Ashadii, Desdii, Jasmin, CarolineDanzi, Lizzy, The Boss, Katavi, ... Nitarudi tena
Eish....hiyo bold mbona ni mtu mmoja?

Kulaaaleki, hili nimeliprinti nampelekea bibi yenu, leo chakula cha usiku ntapewa bila kubaka........
 
dahhh
na list ndefu kweli...
tukienda kule ntakwambia mpaka ukimbie.. hhahaha lol 🙂

We nimekwambia vitu vitatu unaongelea list??Kweli miAfrika ndivyo ilivyo...lolz!!
Nwy do the needful before the end of next week!!
 
Kulaaaleki, hili nimeliprinti nampelekea bibi yenu, leo chakula cha usiku ntapewa bila kubaka........

We babu kwa kulewa sifa wewe.....
Utakosa nafasi ya biya...shauri yako!!
 
Eish....hiyo bold mbona ni mtu mmoja?

Kulaaaleki, hili nimeliprinti nampelekea bibi yenu, leo chakula cha usiku ntapewa bila kubaka........

Bibi anafagilia upaparazi?
 


Swali moja tu my dear ..
kwanini tu bado si Premium member??
personal I think your awesome...

maana nakumbuka we ndo ulinifanya niwe P member
 
ohhhh
man thank you, thank you far too kind ... 🙂
I love Friday night ..
Kumbe wewe ni Superstar haujawahi kuniambia utanieleza vizuri leo.....halafu huyu pacha wako anayeitwa AfroDanz mbona haujawahi kuniambia habari zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…