Ma sister wa catholic church wapata mimba

Ma sister wa catholic church wapata mimba

A church source told the sun, and who told New York times?!
Fake news in Trump's voice.
 
Padri Joni ameshafanya yake!

Wale tuliosoma hiki kitabu A'level watakuwa wanamfahamu.
 
Hivi hili kanisa linakwama wapi?
Inaonesha watumishi wake wanapenda sana kwichi kwichi.
Why not legalise it?
mkuu, shida sio kupenda sana qich qich ila ni ngumu kupinga agizo la Mungu juu ya kuzaana wewe kama kiumbe wa kawaida uliyetimilika. Utaweza tu kumudu ikiwa ni mteule kweli wa Mungu kwa kuwa kibali cha kushinda vishawishi utapatiwa pia.
 
Kanisa hebu wahurumieni hawa watu,hicho kiapo kigumu sana,haya mambo hayataisha!
 
Aisee..

Waruhusiwe tu kuijaza dunia..
Rafiki napata taabu kidogo hapa![emoji41][emoji41][emoji41]
tapatalk_1573050656628.jpeg
 
Aisee mpaka mother superior naye kasombwa na upepo wa kisulisuli. Kweli hii vita ni ngumu sana saizi.
 
Du kumbe nao wanafanya huu mchezo hahahahahahaha ile kitu noma
 
Back
Top Bottom