Unataka kuniambia wanawake hawana akili kiasi hicho mpaka anaamua kukubali kuzaa mtoto na mtu ambaye anajua uwezo wake ni mdogo kifedha kuhudumia mtoto? au nyege zake zimempelekea kufanya nae hivyoHapo umeongelea upande mmoja wa gender,
Vipi kuhusu hao vijana wanaowapa mimba hao wasichana ikiwa hawana uwezo wa kulea?
Wao hawalaumiki? wapo sawa?
Ndio maana nikasema hii issue ni vizuri zaidi ikajadili chanzo cha tatizo kuliko kujadili matokeo ya tatizo.
Mwenye uamuzi wa kubeba au kutokubeba mimba ni mwana mke na sio mwanaume.Hapo umeongelea upande mmoja wa gender,
Vipi kuhusu hao vijana wanaowapa mimba hao wasichana ikiwa hawana uwezo wa kulea?
Wao hawalaumiki? wapo sawa?
Ndio maana nikasema hii issue ni vizuri zaidi ikajadili chanzo cha tatizo kuliko kujadili matokeo ya tatizo.
NakaziaKitu nimegundua kuna trend kubwa ya watu kuwasema singomaza maana watu wameona ina engagement sana.
Ila kiukweli naamini hata 80% of you guys hamjui chochote kuhusu singomaza na wala hamjawahi ku-date na singomaza.
Kama huu usemi wako au imani yako ingekua ni kweli basi watu wasingekua wanahukumiwa kwenda jela kwa kuwapa mimba wanafunzi.Mwenye uamuzi wa kubeba au kutokubeba mimba ni mwana mke na sio mwanaume.
Hata huo uzinzi unao sababisha hiyo mimba ni mwanamke mwenye maamuzi ya mwisho iwapo huo ufanyike au usifanyike.
Hata anaye mpa mwanafunzi mimba mwanafunzi hana makosa na ndio maana kwenye tafisiri ya sheria za Tz hakuna sehemu inayo sema kuwa kufanya mapenzi na mwanafunzi ni kosa.Kama huu usemi wako au imani yako ingekua ni kweli basi watu wasingekua wanahukumiwa kwenda jela kwa kuwapa mimba wanafunzi.
Ase😁
bro kwanza sio kwa ubaya how old are you? Myself am 35yrs old.Mkuu acha kutetea upumbavu kama kila mwanamke aamue kutumia shida zake kupata anachohitaji si wanawake wote wangekuwa Malaya mbona wewe hutoi ndogo ili upate pesa? Ila Kuna vijana wengi wakiume wanatoa ndogo ili waendeshe maisha hapa town
Huu ni uongo wa kiwango Cha KamiUkishajua kwamba wanawake wengi ni wahanga wa mapenzi ya kilaghai utajikuta unawahurumia badala ya kuwahukumu single mothers wengi (siyo wote).
Mkuu unakabia juu sana hhhhhaSipo kwenye mahusiano na mama wa aina hiyo
Ila ukweli ni kuwa zipo sababu nyingi ambazo zingine kuwahukumu ni kuwaonea ,tusipende kufanya mjumuisho kwa vitu ambavyo hatujafuatilia kwa makini .
Kuhusu kujihami ,sijajihami bwana mdogo baharia 1 ila imebidi nikueleze mapema maana kwa vile unavyojitanabaisha kuwa na hela nilijua utadhani labda ni umasikini ndiyo unanituma kukuattack bwana tajiri .
Ila narudia tena ,hunizidi chochote kwa umri wako na ulivyo navyo ila zaidi labda umaarufu wako wa hapa jamvini ulioupata kwa kuwachamba masikini wanaopambana kujitafuta .
Sihitaji tuzungumze kwa michambo ,wala kusutana kama wamama ila nataka tufanye kwa vitendo ,niko tayari nikufuate popote ili nikuoneshe nilivyo navyo ujilinganishe ,JE UKO TAYARI RAFKI ? nataka tufanye hivyo leo .
Toa location PM nije tushindanishe utajiri wetu kijana mwenzangu
Hii kasumba nashindwa kuielewa kabisa wanamfanya mwanamke kama toto dogo ambaye hajijuiMwenye uamuzi wa kubeba au kutokubeba mimba ni mwana mke na sio mwanaume.
Hata huo uzinzi unao sababisha hiyo mimba ni mwanamke mwenye maamuzi ya mwisho iwapo huo ufanyike au usifanyike.
ok kumbe ndio maana being 30+ unaponda hao watu na watu wa 30+ ndio chanzo wewe ni sawa na mtu anayeua huku akilia. Lakin if u are 30+ na hujawai ingiza kikojoleo chako ndan ya kikojoleo cha mwanamke >i mean kama bado wewe ni bikra<u have the gurts and all rights to talk like that and if at that age bado una nguvu za kuongelea mass ingle mom bro something must be missing in your brain. Maybe hata wewe ni mmoja wa hao masingle mother.
Humuhumu mkuu vipi familia aisee,,,Mkuu upo wapi aisee kitambo sana
Hivi kijana bado mapenzi yanakutesa huonekaniHumuhumu mkuu vipi familia aisee,,,
Fresh tu kaka ushapata kaziHumuhumu mkuu vipi familia aisee,,,
Wajiandae mishangaziUmehamia kwa single mother tena😁😁