Ma HOUSE GIRL

Halafu siku hizi wanapatikana kwa shida, yaani shule za secondary zilizoanzishwa zinawazoa wote. Hivyo ukimpoteza uliyenaye sasa kumpata mwingine inachukua muda sana.Waheshimuni sana mlionao sasa.

Yawezekana miaka inayokuja hawa house girls wa kulala nyumbani hawatakuwepo kwani watafanya kazi kwa haki/sheria zaidi, anakuja asubuhi na anaondoka jioni, si mnajuwa watakuwa wasomi!
 
Kweli alikufundisha mpaka umewakumbuka the least remembered member of the society...!
Msaada wao ni mkubwa katika jamii yatu ya kitanzania
 
:A S 13:.Angalia tu asije akafanya mpaka zile huduma za mke wako kwako....:rain:

Kuliko ukatafute nje si bora 'zero grazing' kama analipa, hata kina mama wengi wanatabia ya kuomba dereva, house boy wakati mwingine hata walinzi kusaidia kutoa huduma za baba anaposafiri.

sema hapo Karen?
 
Kuliko ukatafute nje si bora 'zero grazing' kama analipa, hata kina mama wengi wanatabia ya kuomba dereva, house boy wakati mwingine hata walinzi kusaidia kutoa huduma za baba anaposafiri.

sema hapo Karen?

Mhhh....kwa kweli siwezi kusema ni kweli au ni uongo maana sina data za kubase my comment.
 
Keren tukisema ukweli vijana wengi wanaokulia mijini mwanamke wa kwanza kujamiiana nao ni mahasigeli wa nyumbani kwao na mimi nikiwa mmoja wapo,wana kazi nyingi sana hawa viumbe.

Haya mkuu
 
Halafu siku hizi wanapatikana kwa shida, yaani shule za secondary zilizoanzishwa zinawazoa wote. Hivyo ukimpoteza uliyenaye sasa kumpata mwingine inachukua muda sana.Waheshimuni sana mlionao sasa.

Yawezekana miaka inayokuja hawa house girls wa kulala nyumbani hawatakuwepo kwani watafanya kazi kwa haki/sheria zaidi, anakuja asubuhi na anaondoka jioni, si mnajuwa watakuwa wasomi!

Hiyo nathani inakuja mkuu, kwani nchi za wenzetu zilizopiga hatua kiasi wamesha izoea style hii
 
kwa kweli hawa watu ni muhimu sana na wanastahili kupewa heshima zote..............huwa najisikia vibaya sana ninapoona wakinyanyaswa wakati wao ndo waangalizi wa familia so sad jamani!!!!!!
 
kwa kweli hawa watu ni muhimu sana na wanastahili kupewa heshima zote..............huwa najisikia vibaya sana ninapoona wakinyanyaswa wakati wao ndo waangalizi wa familia so sad jamani!!!!!!

Na Siku watapofanya mgomo, ofisi hazita kalika, :rain:
 
Ellia,

Hawa wadada ni wa muhimu sana katika maisha yetu maana bila wao mambo ni magumu, wanatutunzia watoto, kuwapeleka shule, kuwapikia/kutupikia, kutufulia na mambo mengine mengi sana. Kiukweli mim huwa nachukia na kushangaa watu wanaonyanyasa hawa wadada na kuwapa mshahara wa 10000 ni mbaya sana umakabidhi nyumba na watoto wako wa thamani kuliko chochote lakini anaambulia mshahara wa 10000.

Hebu tuwafikirie angalau kidogo wadada wetu wa nyumbani tuongeze mshahara na upendo kwao.

Ni watu wa muhimu sana.

Nawapenda na kuwaheshimu wadada wote wa nyumbani asanteni kwa kututunzia watoto na nyumba. Mungu awabariki sana wadada.

DA
 
Sheria. Lazima wafanyakazi wa majumbani waweze kulipwa kutokana na kazi wanazozifanya, hii ni sawa na utumwa haiwezekani waonewe kiasi hiki na hakuna sheria ambazo zinawalinda. Ni aibu kubwa kwa taifa katika karne hii kuona kuna watu ambao wanawatumia wenzao kama watumwa.

Mimi natamani kuwe na mahali ambapo hawa watumishi wa ndani watasemea shida zao,
Kuna watoto wanaonewa lakini hawazijui haki zao, wala hakuna wakuwasikiliza.
Ukiangalia hata huku jamvini, ishu yoyote inayomhusu House girl watu engi wanakuwa na mawazo machungu na makali kwa house girl.
Utasikia FUKUZAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA, wakati huo eti ni baba mwenye nyumba ametembea na house girl halafu anapojidai anataka kuirudia ndoa yake sijui kuiokoa, utasikia fukuzaaaaaaaaaaaaa!!!!!

Mmmmmm nafikiria sana juu ya kuwafanya hawa watu wazijue haki zao.
 
Nilipokuwa ndogo, Nakumbuka mama yangu alifuata msichana wa kazi kijijini akamleta na kumtambulisha kwetu kama mama yetu mdogo,( yaani mdogo wake). Huyo ndio aliye tupikia,tufulia,tuogesha, na kutufundisha kuoga, kufua, kuvaa nguo, na mambo mengine mengi . alinipeleka shule na kunifuata mchana, alinisaidia kuvuka barabara, kunibeba, alinifundisha ukakamavu pale wazazi wangu walipokuwa hawapo kwani sikuweza...........

Mwanangu hapo penye nyekundu!!, mmh!!! Je pia alikufundisha na ukakamavu wa naniiiiii??????, tehe tehe tehe tehe!!!! Kweli ulipata hausi gero mzuri na inavyoonekana ulikuwa ukiombea baba na mama wasiwepo nyumbani ili ufundishwe!!!!!
 
Umenena Elia..Umuhimu wa hawa watu wengi wetu hawauoni...In reality wanafanya kazi kubwa sana coz domestic work ni nyingi na ni shughuli za kila siku na kila wakati hasa mke akiwa busy au anakauvivu flan... Mie namuheshimu sana housegarl wangu hasa anapomtakecare mtoto wangu mama yake akiwa hayupo...

MY OPINIONS:
TUJARIBU KUWALIPA KAMA WANAVYOSTAHILI
TUWAPE MALAZI YANAYOSTAHILI
TUWAHESHIMU REGARDLESS THEIR EDUCATION LEVEL
WAPEWE MAPUMZIKO NA LIKIZO KWENDA KUSALIMIA KWAO KILA INAPOBIDI
WAELEKEZWE NA SIO KUFOKEWA WANAPOKOSEA..NO ONE IS PERFECT
THEY MUST BE TREATED AS PART OF THE FAMILY...
ASAIDIWE KUTOKA HAPO ALIPO KWENDA HATUA NYINGINE KATIKA MAISHA...HAWEZI KUWA H/G MILELE

ONGEZEA....
thanks
 
Wa kwangu kanitolea mpya jana: Nilimwambia alete fundi afungue kitanda double decker toka chumba kingine nyumba ndogo, akakifunge chumba kingine nyumba kubwa. HG kaleta fundi, kafungua kitanda, wakakiweka nje na fundi kakikata vikatoka 2 kwa maelekezo ya HG. Kimoja kikawekwa kule nilikosema kifungwe, kimoja kaacha kule kule kilikokuwa chote! Hahahahah! wana kazi nyingi maskini, hata unapofikiri ana ufahamu mkubwa, bado mambo mengine atafanya kama HG tu. Kwa sasa anasoma namchukulia kama mdada mwenye upeo mkubwa wa kuelewa. Mungu awabariki kweli kweli!
 
Ellia,

Hawa wadada ni wa muhimu sana katika maisha yetu maana bila wao mambo ni magumu, wanatutunzia watoto, kuwapeleka shule, kuwapikia/kutupikia, kutufulia na mambo mengine mengi sana. Kiukweli mim huwa nachukia na kushangaa watu wanaonyanyasa hawa wadada na kuwapa mshahara wa 10000 ni mbaya sana umakabidhi nyumba na watoto wako wa thamani kuliko chochote lakini anaambulia mshahara wa 10000.

Hebu tuwafikirie angalau kidogo wadada wetu wa nyumbani tuongeze mshahara na upendo kwao.

Ni watu wa muhimu sana.

Nawapenda na kuwaheshimu wadada wote wa nyumbani asanteni kwa kututunzia watoto na nyumba. Mungu awabariki sana wadada.

DA
Siyo kuongeza mshara tu pia kuwa endeleza ingawa wengi wao hawajasoma lakini siyo mbaya ukimpeleka hata shule ya ushonaji,ususi nk ukatenga saa angalau mbili kwa siku ili apate muda wa kujifunza...itamsaidia sana kwenye maisha yake..binafsi wa kwangu anasoma...
 
kwa kweli hawa watu ni muhimu sana na wanastahili kupewa heshima zote..............huwa najisikia vibaya sana ninapoona wakinyanyaswa wakati wao ndo waangalizi wa familia so sad jamani!!!!!!

For sure mi nimefanya sana na Mahaus gel yaani nkumbuka kama watatu hv ndo walionifunza huu mchezo mbaya na nawakumbuka wote.Thanks for welcoming me in this good world.
 
Back
Top Bottom