Wazazi wako over busy hawana time na watoto, wamewaachia walimu, Matron na House girl majukumu

MURUSI

JF-Expert Member
Jun 25, 2013
4,496
8,731
Wazazi inaonekana wako busy sana kusaka pesa, na majukumu ya kulea watoti sasa wamekabidhiwa Ma house Girl, Matron na Walimu, kwamba hao ndio wana paswa kumfundisha mtoto maadilu mema kwa niaba ya mzazi.

Mbaya sasa weekend badala wazazi wakae na watoto unakuta Ding linatoka lenyewe kwenda viwanja na washikaji zake, yaani Baba badala basi weekend atumie huo muda kukaaa na watoto na kuwapa mafunzo ndio kwanza weekend yuko busy kutoka na washikaji zake kwenda kuangalia EPL na Mama ndio muda wa kwenda saloon na kwenda kwa rafiki zake.

Kwamba EPL ni muhimu zaidi ya kukaa na watoto?

Watoto wanajikuta muda wote wako na House Girl, shulen kule matron na Walimu, mzazi unakuta anatamba kwamba ana bint wa kazi mzuri sana anapenda watoto, hio sio sababu wala tiketi ya kukwepa majukumu.

Hizi ni nyakati za hatari sana kwa watoto na wazazi mkuendelea kujifunga mko very busy mtakuha kujuta mbele ya safari.
 
Leo nasikia yule padri aliyebaka kafikishwa Mahakaman na hkuna watu wanaoruhusiwa kuingia, llkn kësi ya yule Mwl wa global watu waliruhusiwa kuingia pmpja na waandishi wa habr. Ndo tujue ya Nini kumficha hUyo kiongoz kama DPP ameona ana kësi ya kujibu.
Leo hiii haijulikan kësi Namba ngapi ya nani..bas watu wote wafanyiwe hiiv.
 
Leo nasikia yule padri aliyebaka kafikishwa Mahakaman na hkuna watu wanaoruhusiwa kuingia, llkn kësi ya yule Mwl wa global watu waliruhusiwa kuingia pmpja na waandishi wa habr. Ndo tujue ya Nini kumficha hUyo kiongoz kama DPP ameona ana kësi ya kujibu.
Leo hiii haijulikan kësi Namba ngapi ya nani..bas watu wote wafanyiwe hiiv.
hii coment unatafta atention nakuizorotesha ile dini uonekane ulichokuwa hukipendi mda mwingi (hiyo dini)uko sahihi kumbe bado umepotea pole sana

sasa mada ni nyingine imeingiliaje hapo?
 
mkuu hawa watoto wenyewe wakikua watakuacha mwenyewe na mjengo wako wacha tuinjoi na wenzetu hawahawa ndo tutazeeka nao sio hawa watoto km ni mahtaji watapata kuhusu elimu ya mzazi watakutana nayo GOOGLE.

mambo ya kulililea litoto kwa nguvu,nyingi mwisho wa siku lisikukumbukee ndo nini.
 
Hili bomu tuli/nalolipika limeanza kutulipukia taratiiibu ila hata hatustuki. Kama hatuwezi kuwalea watoto tunaowaleta duniani kwa starehe na matakwa yetu wenyewe, ni vyema kutowaleta kabisa.
 
mkuu hawa watoto wenyewe wakikua watakuacha mwenyewe na mjengo wako wacha tuinjoi na wenzetu hawahawa ndo tutazeeka nao sio hawa watoto km ni mahtaji watapata kuhusu elimu ya mzazi watakutana nayo GOOGLE.

mambo ya kulililea litoto kwa nguvu,nyingi mwisho wa siku lisikukumbukee ndo nini.
Too sad hili pia ni matokeo ya hayo hayo yanayoongelewa.
 
Wazazi inaonekana wako busy sana kusaka pesa, na majukumu ya kulea watoti sasa wamekabidhiwa Ma house Girl, Matron na Walimu, kwamba hao ndio wana paswa kumfundisha mtoto maadilu mema kwa niaba ya mzazi.

Mbaya sasa weekend badala wazazi wakae na watoto unakuta Ding linatoka lenyewe kwenda viwanja na washikaji zake, yaani Baba badala basi weekend atumie huo muda kukaaa na watoto na kuwapa mafunzo ndio kwanza weekend yuko busy kutoka na washikaji zake kwenda kuangalia EPL na Mama ndio muda wa kwenda saloon na kwenda kwa rafiki zake.

Kwamba EPL ni muhimu zaidi ya kukaa na watoto?

Watoto wanajikuta muda wote wako na House Girl, shulen kule matron na Walimu, mzazi unakuta anatamba kwamba ana bint wa kazi mzuri sana anapenda watoto, hio sio sababu wala tiketi ya kukwepa majukumu.

Hizi ni nyakati za hatari sana kwa watoto na wazazi mkuendelea kujifunga mko very busy mtakuha kujuta mbele ya safari.
Kufundisha watoto tabia nzuri ni kazi ya Madrassa na Sunday School.
 
Back
Top Bottom