Dr wa ukweli
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 900
- 264
tangu desemba mwaka jana dada yangu anatafuta housegerl amekosa, wamekuwa wa shida sana, tangu lowasa aje na mpango washule za kata basi ni tabu sana aliyefel la saba atakuambia nasubiria second selection kazi kweli kweli, tulipokuwa tunategemea Iringa dodoma singida na kwingneko hawapo na ukipata wamepanda bei sana! kama unae shukuru mungu na mtunze vizuri zaidi ya mwanao
kama utafikiria kumtesa/kumnyanyasa kumbuka kisa cha yule aliyemfungia mtoto mchanga knye frige akafa na kuwa barafu.
kama utafikiria kumtesa/kumnyanyasa kumbuka kisa cha yule aliyemfungia mtoto mchanga knye frige akafa na kuwa barafu.