Ma ex mnakuwaga na shida gani?

Ma ex mnakuwaga na shida gani?

Ni kweli kuna wanaa wana mambo ya kishamba sana... Me ni ME ila hiyo imenikuta sana. Sometimes simu ya mpenzi wangu ilikuwa ina-receive calls na text za ex wake nyingi za kuomba warudiane hadi nikasema enyewe wanaume wengi tunafeligi sana kwenye mahali panaitwa kujitambua, Me ninachojuaga na nilivyotambua ni kwamba ya kale yakipita ni kuganga na mapya na ndo slogan ya kiume na ndivyo nilivyo nikiamua kumove on ... Kuna siku amepiga and namsikia kabisa my woman akawa anamwambia kabisa kwamba tayari ana mtu (ambae ndo mimi) ila wapi jamaa analazimisha.... Kuna siku akapiga nikiwa natungua nazi (having sex) na ex wake huyu ambae ni mpenzi wangu me nika accept call kisha nikaweka loud speaker nisikie atasemaje kisha nikawa nachochea gia akawa anasikia miguno simu naielekeza sehemu zenye milio ya (PAPAPAPA NA MIGUNO YA PISI) nia tu asikie sauti ajiongeze na kweli akaelewa basi hamna siku jamaa alitukana kama ile, Alinitukana hadi mimi as if ananijua😁😁😁, Sikuwa najibu zaidi ya kufocus na operation ile hadi akakata cm, enyewe baadae baada ya kukitupa bibie alifurahi sana akaanza kuniita ADUI, Niliamua kufanya vile kwa hasira ili aache usumbufu basi toka hio siku sikusikia tena usumbufu wa yule mwamba.
 
Anakua ashajua wewe ni hamnazo,hivyo anajaribu kukuharibia ili uwe mchepuko wake wa kudumu.Kama we ni mzima, unaweza ukaachana nae mazima,na akihakiki kua umeachana nae,na uko serious,hawezi kukufuatilia tena.Tambua,ex mjinga huwa koloni la kudumu la mwanaume mwenye akili.Analidanganyadanganya tu janamke,kua yaani mimi nakupenda sana wewe,kuliko hata mke wangu,ilitokea tu nikamuoa,ila ningekupa wewe.Nimekumisi naomba tukumbushie,janamke linakubali,analibandua,anarudi kwa mkewe.Akisikia kuna mwanaume anataka kumuoa,anavuruga au asipovuruga,anaweka mazingira ya hatakama likiolewa,awe anapasha kiporo.Jitambue.
Anamfata huyo mtu kumuonya kuwa aachane na mm
 
Unadhani kwanini demu wako mpya,hakuthubutu kum-block...?Janjaruka mwamba.
Ni kweli kuna wanaa wana mambo ya kishamba sana... Me ni ME ila hiyo imenikuta sana. Sometimes simu ya mpenzi wangu ilikuwa ina-receive calls na text za ex wake nyingi za kuomba warudiane hadi nikasema enyewe wanaume wengi tunafeligi sana kwenye mahali panaitwa kujitambua, Me ninachojuaga na nilivyotambua ni kwamba ya kale yakipita ni kuganga na mapya na ndo slogan ya kiume na ndivyo nilivyo nikiamua kumove on ... Kuna siku amepiga and namsikia kabisa my woman akawa anamwambia kabisa kwamba tayari ana mtu (ambae ndo mimi) ila wapi jamaa analazimisha.... Kuna siku akapiga nikiwa natungua nazi (having sex) na ex wake huyu ambae ni mpenzi wangu me nika accept call kisha nikaweka loud speaker nisikie atasemaje kisha nikawa nachochea gia akawa anasikia miguno simu naielekeza sehemu zenye milio ya (PAPAPAPA NA MIGUNO YA PISI) nia tu asikie sauti ajiongeze na kweli akaelewa basi hamna siku jamaa alitukana kama ile, Alinitukana hadi mimi as if ananijua😁😁😁, Sikuwa najibu zaidi ya kufocus na operation ile hadi akakata cm, enyewe baadae baada ya kukitupa bibie alifurahi sana akaanza kuniita ADUI, Niliamua kufanya vile kwa hasira ili aache usumbufu basi toka hio siku sikusikia tena usumbufu wa yule mwamba.
 
Unadhani kwanini demu wako mpya,hakuthubutu kum-block...?Janjaruka mwamba.
wewe umeona kublock tu kwani si alikuwa anapiga hadi na namba mpya hujaona kwamba solution ni kubadili number kabisa na ilifika hadi chick akataka kufanya hivyo me ndo nikamuambia aache tu haina haja jamaa apige hadi achoke coz me sinaga pigo za kukuza mambo hasa kwenye mahusiano. najua pisi akiwa na mimi muda huu ndo ndo wangu akitoka huko atajua mwenyewe na hata akiamua asirudi pia fresh.. Me ni mtu wa nikifunua nimefunua na nikifunika nimecheza.
 
Kuna pisi tuliachana inaanza kuzusha kuwa nataka kuiua na haitaki kuja ata kwao kumbe uongo nimesikia nmecheka mno
 
Kikawaida wanaume wengi wanataka hivyo ili wawe wanakukula kimasihara , yani kama ni mpira uwe mchezaji wa akiba , kipindi cha pili au key player akiumia wwe una ingia (super sub).
 
Jamani hivi umeachana na mtu wako, unajaribu ku move on yeye Bado anakukwamisha.

Yaani hata ukimpata mtu mwingine anakuharibia yeye ashampata Mtu wake na wanaishi maisha yao lakini hatak akuone ukipata mtu mwngn hv mtu kama Huyu unamfanyj
Inawezekana anamhurumia uliyempata kwasababu wewe unachuna Sana alafu kwa Mkapa Ni Gogo
 
Jamani hivi umeachana na mtu wako, unajaribu ku move on yeye Bado anakukwamisha.

Yaani hata ukimpata mtu mwingine anakuharibia yeye ashampata Mtu wake na wanaishi maisha yao lakini hatak akuone ukipata mtu mwngn hv mtu kama Huyu unamfanyj

Moja Kati ya haya ni majibu ya changamoto hiyo;
1. Amekudharau.
2. Umejidharau
3. Amekuona bado unampenda.
4. Unamu- entertain
5. Amekuona ni mtu wa kukufanyia mizaha na kukudhihaki.

Chakufanya
1. Jiheshimu.
Jipende, jikubali, kuwa na msimamo na uonyeshe Kwa Watu watakuelewa Kwa namna hiyo, ex wako akikujua unajiheshimu hawezi kukuvunjia heshima yako. Kikawaida wewe binafsi ndiye unayejivunjia heshima.
Unapoongea Jambo hakikisha unamaanisha.

2. Tafuta mwanaume wako alafu mwambie amuonye huyo Ex wako.
 
Moja Kati ya haya ni majibu ya changamoto hiyo;
1. Amekudharau.
2. Umejidharau
3. Amekuona bado unampenda.
4. Unamu- entertain
5. Amekuona ni mtu wa kukufanyia mizaha na kukudhihaki.

Chakufanya
1. Jiheshimu.
Jipende, jikubali, kuwa na msimamo na uonyeshe Kwa Watu watakuelewa Kwa namna hiyo, ex wako akikujua unajiheshimu hawezi kukuvunjia heshima yako. Kikawaida wewe binafsi ndiye unayejivunjia heshima.
Unapoongea Jambo hakikisha unamaanisha.

2. Tafuta mwanaume wako alafu mwambie amuonye huyo Ex wako.
Naam mtibeli umesema kweli ndo maana nami nilimwambia shida sio ya huyo ex ni ya mleta mada mwenyewe
 
Kuna ukaribu fulani bado utakuwa uko nao na ex wako ndo maana anakuwa na jeuri ya kufanya ivo
 
Back
Top Bottom