Ma ex mnakuwaga na shida gani?

Ma ex mnakuwaga na shida gani?

Na wewe mfuate mpenzi wake mpya ukamuonye mwambie bwana wako sitaki anifuatefuate sio una kuja kulalamika kwa vitu ambavyo vinakuwa EASILY SOLVED AU BADO UNA HISIA NA EX WAKO NINI!!!!!
 
Itakuwa ulikuwa unadate na mwanamke mwenzio mwanaume anawezaje kumfuata mwanaume mwenzie na kumuambia akuache! akifika sijui hta anaanzaje
 
Hayo maswali muulize mleta mada...
Sikuizi sitaki kua mshauri wa mapenzi kabisa 🙌🙌
Screenshot_20230803-214737.png
 
Kama ulikuwa unaipaka asali ni ngumu sana mchizi kuisahau,Ni kama ilivyongumu kuacha nyonyo Kwa mtoto,mpe mwenzio kwani inaisha?Punguza roho mbaya mkuu
 
Back
Top Bottom