LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,150
- 11,199
Serikali ilikabidhi Tenda ya matengenezo ya mv Magogoni kwa Wakenya kwa Mbwembwe nyingi sana wakawaacha kampuni ya Ndani
Sasa ni mwaka wa 2 Mv magogoni ukarabati imefika asilimia 40
Now kivuko kinafanya kazi kimoja tu watu wanapata tabu sana, ilikuwaje Serikali mkawaacha wazawa mkawapa hii kazi Wakenya,?
Sasa ni mwaka wa 2 Mv magogoni ukarabati imefika asilimia 40
Now kivuko kinafanya kazi kimoja tu watu wanapata tabu sana, ilikuwaje Serikali mkawaacha wazawa mkawapa hii kazi Wakenya,?