- Thread starter
- #21
poa..ntamwambiaHuwa wanaachiwa sana tip na business card, mengine sijui
poa..ntamwambiaHuwa wanaachiwa sana tip na business card, mengine sijui
yule alishaolewa mkuuSema tu ni we we unataka kumuoa yule binti wa Azania bank
wakuu umofia kwenu? kuna mdau wangu anataka kuoa bank teller ila anasita sana kutokana na tabia za baadhi yao.
Je wakuu mademu ma bank teller wana sifa gani katika mahusiano..
Pia ni watoaji wazuri wa ule mtandao pendwa
anataka kujua tabia za bank tellerUnaoa kazi au unaoa mwanamke?
aiseePia ni watoaji wazuri wa ule mtandao pendwa
duuh....Ukimpa elfu kumi ya mboga hata hastuki kwa kuwa ameshazoea kushika mamilioni...
AiiyaaaaaPia ni watoaji wazuri wa ule mtandao pendwa
Mara nyingi wanaanza kama bank teller halafu wanaingia ndani kwenye kazi zingine. Sasa sijui wakiingia ndani wanabadilika tabia au wanabaki na tabia zile zile za teller? Kazi imekuwa tabiaMwisho waache kusoma watoto wetu kuogopa kutokuolewa
Tabia ni mtu mwenyewe,labda huyu teller yuko katika mazingira hatarishi ya kukutana na watu wenye mawe ya kutosha.Sasa kama mwanaume wake anauza mihogo,wakati binti kazini anawahudumia watu wanaomletea milioni 100 huku akimchekea chekea...inabidi kuhesabu maumivu.anataka kujua tabia za bank teller
ahahahahahahuwa wanadhani zile pesa wanazopewa wahesabu na kuzitia kwenye dro ni zao
wakuu umofia kwenu? kuna mdau wangu anataka kuoa bank teller ila anasita sana kutokana na tabia za baadhi yao.
Je wakuu mademu ma bank teller wana sifa gani katika mahusiano..
Anayetaka kumuoa binti wa Azania bank DodomaSema tu ni we we unataka kumuoa yule binti wa Azania bank
Mume wake yupo humu mkuuyule alishaolewa mkuu
dah basi tenaaa daah...unamfahamu???Mume wake yupo humu mkuu