M4PI....! Kituko kingine cha CCM maslahi


Mabadiliko hayaletwi na mtu anayekunya kwenye nguo, shujaa hajinyei bhana, tukubali ukweli, mabadiliko hayaletwi na mtu dhaifu kama huyo mzee wenu. Acheni kujidanganya wenyewe. #HapaKaziTu CHAGUA MAGUFULI.
 
waache wajitekenye weeeeeeeeee.... trh znasonga tu... VIVA UKAWA
 
Mwezeshaji wa huo ujinga atakuwa Diallo kwasababu unalingana na akili yake!
 
Hahaah wamechelewa hao, ni wajinga wakubwa. Wanampigia kampeni Magufuli halafu wanaogopa kusema wao ni wanaCCM. Wakija huku kwetu tutawapiga mawe, tena mchana kweupe, hatutaki wanafiki.
 
Kama ccm ni punda basi mzigo mzito mgongoni utakuwa unamuelemea hajui afanyeje...Huku akiendelea kupata bakora mfululizo mgongoni
 
Mabadiliko hayaletwi na mtu anayekunya kwenye nguo, shujaa hajinyei bhana, tukubali ukweli, mabadiliko hayaletwi na mtu dhaifu kama huyo mzee wenu. Acheni kujidanganya wenyewe. #HapaKaziTu CHAGUA MAGUFULI.

Pathetic......what a stupid reply...!!
 

Wanasiasa wachache wenye nia ya kweli ya kubadilisha maisha yako wewe mtanzania wa kawaida. Wengi wao wapo

kimaslahi yao zaidi na makundi yao. Cha muhimu tusijimwage na kujipa sana matumaini kwamba mtu flani atatubadilishia

maisha. Ndio maana mi binafsi ningependa kuwauliza hawa wagombea hasa wa urais, nini hasa malengo yao, au nini

kimewasukuma kutaka kugombea hii nafasi kubwa na yenye heshima ya juu kabisa nchini? Vile vile hasa huyu wa UKAWA

na wa CCM ambao walikuwa kule miaka zaidi ya 30 labda watueleze tu walisaidia vipi kuwaondolea huu mvumo mbovu wa

CCM ambao wananchi wengi wanaonekana kuuchukia. Mwisho kabisa wangetaja mali zao na kutujuza jinsi walivyozipata,

zaidi ya hapo kama watashindwa kuweka haya mambo vizuri nitaona nia yao ni kutaka kujinufaisha wenyewe tu.
 


usipende mawazo yako yafanane na wengine, maana ya mabadiliko ni pana lakini ni nani anataka kuleta mabadiliko, mob phsychology bahati mbaya ilinipitia pembeni
 
usipende mawazo yako yafanane na wengine, maana ya mabadiliko ni pana lakini ni nani anataka kuleta mabadiliko, mob phsychology bahati mbaya ilinipitia pembeni

Hebu tulia uandike kitu kinachoeleweka una muda wa kutosha saana Usikurupuke JF ipo tu
 
Hivi mpaka kampeni hizi ziishe huko hazina wataacha kitu kweli?.
 
Jamani mwenye kuwa na uelewa zaidi juu ya katiba ya jamhuri yamuungano wa Tz. Je? Hili baraza litakuwepo hata baada ya Rais mpya kuapishwa?. Kizunguzungu
 
Jamani mwenye kuwa na uelewa zaidi juu ya katiba ya jamhuri yamuungano wa Tz. Je? Hili baraza litakuwepo hata baada ya Rais mpya kuapishwa?. Kizunguzungu

Lilikufa siku ile ile baada ya kuzinduliwa na kurushwa hewani, baada ya pale kila mmoja akadaka mshiko wake na makabrasha yakafungiwa kabatini wengine vitumbua
Failed mission completed....!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…