Huyu ni aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Geita ambaye amevua gamba na kuvaa gwanda mapema mwaka huu akihutubia umati wa wananchi waliohudhuria mkutano wa M4C.Hakuna kulala mpaka kieleweke.
Nimeishi sana Geita naifahamu vilivyo na nimetoka huko kuja hapa Dar katikati ya mwaka jana,ni vigumu sana kwa CHADEMA kuchukua kata ya Kalangalala kwa sababu kwenye eneo hilo bado watu wana ushabiki wa mdomoni lakini sio wa moyoni.nasema hivyo kwa sababu mwaka wa Chadema kuchukua jimbo hilo ilikuwa ni uchaguzi wa mwaka 2010 uchaguzi uliomuingiza madarakani Donald Max,huyu Max alikuwa hapendwi hata ha WanaCCM wenzake na walitoa ushirikiano Mkubwa sana kwa CDM lakini mwisho wa siku wakashindwa,natambua kwamba Max harudi Bungeni uchaguzi ujao lakini jimbo ni vigumu kwenda CDM isipokuwa litachukuliwa na mtu mwingine kupitia CCM.
uvumilivu tunao ila kwa kweli maumivu tunayapata , haya mashambulizi ya kutoka kila kona sasa tutweza kuwadhibiti hawa kweli na wale wasaidizi wetu?Si haba
View attachment 93284
Huyu ndo diwani wa Kata ya Kalangalala Mhe. Kagoma, akiwa na Katibu wa CHADEMA Geita.
Kata ya Kalangalala iko chini ya CHADEMA na nadhani umemuona Mheshimiwa Diwani.
![]()
Si haba
Katibu mwenezi wa CHADEMA Wilaya ya Geita Ignas karashani akihutubia mkutano,anasema Chadema imekuja na Mwarobaini wa matatizo ya watanzania.
Nakwambia mwaka huu,
NYOKA ANAPIGWA MTAMA AKIAMKA ANAKIMBIA,
SISIMIZI ANAPIGWA KWENZI NA HAFI ANAVUMILIA,
TEMBO ANAKALISHWA KWENYE KIGODA NA MAKALIO YANAENEA NA BATA ANAONGEZEWA.
ww ushatoka Geita,sisi tupo hadi mda huu,tunajua na tunayaona yanayotokea.uchaguzi ulopita yaan 2010,matokeo yalichakachuliwa walio wengi tunajua! ukweli watu washaamka sana c kama usemavyo!Nimeishi sana Geita naifahamu vilivyo na nimetoka huko kuja hapa Dar katikati ya mwaka jana,ni vigumu sana kwa CHADEMA kuchukua kata ya Kalangalala kwa sababu kwenye eneo hilo bado watu wana ushabiki wa mdomoni lakini sio wa moyoni.nasema hivyo kwa sababu mwaka wa Chadema kuchukua jimbo hilo ilikuwa ni uchaguzi wa mwaka 2010 uchaguzi uliomuingiza madarakani Donald Max,huyu Max alikuwa hapendwi hata ha WanaCCM wenzake na walitoa ushirikiano Mkubwa sana kwa CDM lakini mwisho wa siku wakashindwa,natambua kwamba Max harudi Bungeni uchaguzi ujao lakini jimbo ni vigumu kwenda CDM isipokuwa litachukuliwa na mtu mwingine kupitia CCM.
Wahusika ni kina nani? Tujuze maana hueleweki!
ww ushatoka Geita,sisi tupo hadi mda huu,tunajua na tunayaona yanayotokea.uchaguzi ulopita yaan 2010,matokeo yalichakachuliwa walio wengi tunajua! ukweli watu washaamka sana c kama usemavyo!
Nadhani utakuwa unamzungumzia Karashani mwingine,huyu hawahi kuwa mwanachama wa CCM,na wala hana uroho wa madaraka.
Huyu ni aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Geita ambaye amevua gamba na kuvaa gwanda mapema mwaka huu akihutubia umati wa wananchi waliohudhuria mkutano wa M4C.Hakuna kulala mpaka kieleweke.