kanta
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 343
- 65
Makamanda wa CHADEMA Geita wapo kwenye kata ya Kalangalala wakipiga kaziya kutoa elimu ya Uraia.
Wanasema CCM kwa njia za kistaarabu hawataki kutoka,wametumia vibaya rasilimali za hii nchi hivyo wanaogopa kutoka kwa kuwa watafikishwa mbele ya sheria na kufungwa.Wanasema serikali makini lazima itokane na watu makini,serikali ya CCM si makini.
Wanasema CCM kwa njia za kistaarabu hawataki kutoka,wametumia vibaya rasilimali za hii nchi hivyo wanaogopa kutoka kwa kuwa watafikishwa mbele ya sheria na kufungwa.Wanasema serikali makini lazima itokane na watu makini,serikali ya CCM si makini.