M4C Pamoja Daima ndani ya Musoma!

M4C Pamoja Daima ndani ya Musoma!

Mtyama

Member
Joined
Feb 1, 2008
Posts
53
Reaction score
25
Mchana huu, Musoma Mjini itakuwa na Ugeni wa Dkt Wilbrod Slaa na Wah. Wajumbe wa CHADEMA akiwemo Mbunge wa Musoma Mjini, Mhe. Vincent Nyerere katika kuendeleza shughuli za Chama nchi nzima kupitia M4C-PamojaDaima. Dkt Slaa na Waheshimiwa Wajumbe wataongelea mambo mengi ya mustakabali wa Jimbo la Musoma, Mkoa wa Mara na Tanzania kwa ujumla. Tutajaribu kuwajuza kadri ya Mikutano hii inavyoendelea.
 

Attachments

  • SAM_2493.JPG
    SAM_2493.JPG
    936.1 KB · Views: 633
  • SAM_2519.JPG
    SAM_2519.JPG
    742.2 KB · Views: 521
Ukorere bhuya Mura waito, Wakondya Mtyama, Wabheja sana, Wakora Waitu, Uzomilye Mura!!!! Picha ndo tunazitaka tafuta Camera ya Ukweli mtujuze vitu vya Uhakika maana MAGAMBA yanataka kudharau mpaka nyumbani kwa MWALIMU hawafai kabisa hao.
 
Acha kuwa na akili za chawa wewe! Kwani Tarime siyo Tanzania? Fikiri sana kabla ya kuropoka.
 
Ccm wana ungua kote kote,nape kimyaaa zambi ya mawaziri mizigo ya mtafuna
 
hii chama wako vizuri kwa sasa kuliko hata hapo mwanzo
 
Tupo pamoja makamanda,Vp wana jf,zigo(zitto) hajarudi toka Nigeria?au alizidiwa akafa?anayefaham anijib.m4c-opd imemuli
 
Tupo pamoja makamanda,Vp wana jf,zigo(zitto) hajarudi toka Nigeria?au alizidiwa akafa?anayefaham anijib.m4c-opd imemuli
Kwani ALIENDA Nigeria?, kwa kazi ya PAC au longolongo zake za kujifanya busy na u- international figure wake feki kumbe anafuatilia mishiko ya kazi aliyofanya ya usaliti aliyoingiziwa katika akaunti zake nje?
 
Mchana huu, Musoma Mjini itakuwa na Ugeni wa Dkt Wilbrod Slaa na Wah. Wajumbe wa CHADEMA akiwemo Mbunge wa Musoma Mjini, Mhe. Vincent Nyerere katika kuendeleza shughuli za Chama nchi nzima kupitia M4C-PamojaDaima. Dkt Slaa na Waheshimiwa Wajumbe wataongelea mambo mengi ya mustakabali wa Jimbo la Musoma, Mkoa wa Mara na Tanzania kwa ujumla. Tutajaribu kuwajuza kadri ya Mikutano hii inavyoendelea.

updates mkuu
 
Leo hii katika Mkutano wa hadhara wa M4C Pamoja Daima uliofanyika jioni hii mjini Musoma, Dr Slaa ameongelea mambo mengi kwa mustakabali wa Taifa letu, na kama tutayatekeleza kama Taifa tutakuwa na muelekeo wa maisha bora kwa kila mtanzania na kuweka Taifa letu katika dira ya maendeleo ya ki-dunia kama nchi za wenzetu za Malaysia, Singapore, Thailand na hata Uchina walivyoweza. Kwa mpango wa sasa wa miaka 50 wa Umoja wetu wa Afrika (AU) kuhusu mustakabali wa bara letu la Afrika, Dr Slaa na CHADEMA kwa sasa ndiyo wanaoona muelekeo huo. CCM vizuri wapewe dozi, na dozi hii ni Mageuzi 2015.
 

Attachments

  • SAM_2450.JPG
    SAM_2450.JPG
    694.8 KB · Views: 375
  • SAM_2463.JPG
    SAM_2463.JPG
    881.1 KB · Views: 369
  • SAM_2466.JPG
    SAM_2466.JPG
    898.1 KB · Views: 363
leo hii katika mkutano wa hadhara wa m4c pamoja daima uliofanyika jioni hii mjini musoma, dr slaa ameongelea mambo mengi kwa mustakabali wa taifa letu, na kama tutayatekeleza kama taifa tutakuwa na muelekeo wa maisha bora kwa kila mtanzania na kuweka taifa letu katika dira ya maendeleo ya ki-dunia kama nchi za wenzetu za malaysia, singapore, thailand na hata uchina walivyoweza. Kwa mpango wa sasa wa miaka 50 wa umoja wetu wa afrika (au) kuhusu mustakabali wa bara letu la afrika, dr slaa na chadema kwa sasa ndiyo wanaoona muelekeo huo. Ccm vizuri wapewe dozi, na dozi hii ni mageuzi 2015.

huu mwendo ni mpaka 2015 magogoni!
 
Back
Top Bottom