YAANI nyie chadema huku tunawapenda mpaka tuna umwa,kikubwa sie tuna piga dua njema na maombi kwa sana hili ibilisi muovu na mipangp yake ikashindwe,hiki chama kita tuletea ukombozi wa mara ya pili kutoka kwa mkoloni mweusi CCM na mawaziri wao mizigo,mbarikiwe sana makamanda kwa kzi mnayo ifanya na MWENYEZI MUNGU awape ulinzi nyinyi pamoja na familia zenu