TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Ninapozisomahabari za M4C ikipasua anga huko Mtwara Lindi na viunga vyake naona taswira ya CCM wakiwa mahakamani wakiupinga ushindi wa CDM wa ngazi ya Urais,pembeni namuona mh Tindu Lisu akiwasmbaratisha kwa hoja nzito zenye mashiko,wenye CCM kwaheri kwaheri tunawatakia maisha ya taabu huko muendako
Tunasikitika kuagana na CCM,byebye CCM,kwa heri Magamba.