M4C msisahau kupita kwa wafuatao...

M4C msisahau kupita kwa wafuatao...

sitll chadema works smart whill ccm works hard. Yani ccm kifo kipo jirani sana yaan mziki wa m4c wanavyo ucheza utathan kwaya ya mazombi
 
Tanga Kwa maji marefu korogwe, muheza kwa mtangi. Na handen kwa Shelukindo a.k.a mwizi wa mataulo ya hoteli.
 
Kamanda na sisi wa Da'Slaam tunawahitaji. Hasa huku Temeke kwangu, tunajitahidi ila tunahitaji nguvu ya M4C ifike.

Mkuu Dickson Ng'hily,
Nakuheshimu sana Mkuu wangu lakini si vibaya kurekebishana pale tunapoona mmoja wetu anapotoka maana tunajifunza through mistake. Matamshi ya hapo kwenye Red si mazuri kwani yanaonyesha umiliki wa eneo kinyume na nadharia halisi.

Mara nyingi tumekuwa tukiwasikia wabunge wa CCM wakisema Jimbo langu la Segerea, mara Jimbo langu la Temeke au Jimbo langu la Mvomero nk. Kiuhalisia si vizuri kwani kunaonyesha dalili ya ubinafsi na udikteta. After all mtu mmoja hawezi akamiliki Jimbo kwani kwa kusema hivyo maana yake unamiliki wakazi, ardhi, viwanda na kila kitu kilichomo ndani ya jimbo. Kitu ambacho si kweli!

Tujifunze kusema Jimbo letu la Temeke, Jimbo letu la Ubungo, Jimbo letu la Karatu nk.

TUMBIRI (PhD, University of HULL - Hull City, UK),

tumbiri@jamiiforums.com
 
Mkuu Dickson Ng'hily,
Nakuheshimu sana Mkuu wangu lakini si vibaya kurekebishana pale tunapoona mmoja wetu anapotoka maana tunajifunza through mistake. Matamshi ya hapo kwenye Red si mazuri kwani yanaonyesha umiliki wa eneo kinyume na nadharia halisi.

Mara nyingi tumekuwa tukiwasikia wabunge wa CCM wakisema Jimbo langu la Segerea, mara Jimbo langu la Temeke au Jimbo langu la Mvomero nk. Kiuhalisia si vizuri kwani kunaonyesha dalili ya ubinafsi na udikteta. After all mtu mmoja hawezi akamiliki Jimbo kwani kwa kusema hivyo maana yake unamiliki wakazi, ardhi, viwanda na kila kitu kilichomo ndani ya jimbo. Kitu ambacho si kweli!

Tujifunze kusema Jimbo letu la Temeke, Jimbo letu la Ubungo, Jimbo letu la Karatu nk.

TUMBIRI (PhD, University of HULL - Hull City, UK),

tumbiri@jamiiforums.com

umesomeka mkuu, ila yote cha mtoto hlo jimbo la magogoni ndo muhmu kuliko yote 2nalihitaji kwa nguvu zote
 
Chadema bunge limeisha
sasa,,majembe yetu mlioko bungeni tunawategemea kujiunga na jeshi la
m4c...2015 tunayahitaji majimo yanayoongozwa na:
1.kayanza Pinda
2.Lukuvi.
3Wasira
4.Anne Makinda
5.Lusinde
6.Nchemba
7.na mengine mengi
napendekeza zile pickup zikaanze kufanya kazi huko

7. chenge
8. ole sendeka
 
Mkuu Dickson Ng'hily,
Nakuheshimu sana Mkuu wangu lakini si vibaya kurekebishana pale tunapoona mmoja wetu anapotoka maana tunajifunza through mistake. Matamshi ya hapo kwenye Red si mazuri kwani yanaonyesha umiliki wa eneo kinyume na nadharia halisi.

Mara nyingi tumekuwa tukiwasikia wabunge wa CCM wakisema Jimbo langu la Segerea, mara Jimbo langu la Temeke au Jimbo langu la Mvomero nk. Kiuhalisia si vizuri kwani kunaonyesha dalili ya ubinafsi na udikteta. After all mtu mmoja hawezi akamiliki Jimbo kwani kwa kusema hivyo maana yake unamiliki wakazi, ardhi, viwanda na kila kitu kilichomo ndani ya jimbo. Kitu ambacho si kweli!

Tujifunze kusema Jimbo letu la Temeke, Jimbo letu la Ubungo, Jimbo letu la Karatu nk.

TUMBIRI (PhD, University of HULL - Hull City, UK),

tumbiri@jamiiforums.com

Mkuu TUMBIRI, umesomeka japo ma motive was and still is clean, hizo tafsiri ulizotoa kwa kufafanua ni nini nimemaanisha pale nilpotamka Temeke Kwangu haziendani kabisa na motive iliyonisukuma kusema hivyo. Ni jambo moja kusikia mtu akitamka maneno na ni jambo jingine na wakati mwingine ni gumu kutambua motive iliyomsukuma kutamka...Sidhani kama kusema Temeke kwangu kuna dalili zozote za ubinafsi ama udikteta...Afu penye red hapo...Mimi sikusema jimbo langu, nimesema Temeke Kwangu, si ni mkazi wa Temeke! Kuna kosa gani kupaita Temeke Kwangu!Na hapo penye blue, sijui unamaanisha nini coz ina maana wewe mkuu TUMBIRI ukiwa na kwako ndo kusema unamiliki wakazi, ardhi, viwanda na kila kitu kilichomo ndani ya jimbo! Mkuu hii tafsiri umeitoa wapi!Nway, hata mie nakuheshimu sana na ninadhani kurekebisha katika hili si vibaya ndugu yangu...

 
Mkuu Dickson Ng'hily vipi utatupa tena karata ukipata ridhaa ndani ya CDM au muda bado?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu TUMBIRI, umesomeka japo ma motive was and still is clean, hizo tafsiri ulizotoa kwa kufafanua ni nini nimemaanisha pale nilipotamka Temeke Kwangu haziendani kabisa na motive iliyonisukuma kusema hivyo. Ni jambo moja kusikia mtu akitamka maneno na ni jambo jingine na wakati mwingine ni gumu kutambua motive iliyomsukuma kutamka.

Sidhani kama kusema Temeke kwangu kuna dalili zozote za ubinafsi ama udikteta. Afu penye red hapo. Mimi sikusema jimbo langu, nimesema Temeke Kwangu, si ni mkazi wa Temeke! Kuna kosa gani kupaita Temeke Kwangu! Na hapo penye blue, sijui unamaanisha nini coz ina maana wewe mkuu TUMBIRI ukiwa na kwako ndo kusema unamiliki wakazi, ardhi, viwanda na kila kitu kilichomo ndani ya jimbo! Mkuu hii tafsiri umeitoa wapi! Nway, hata mie nakuheshimu sana na ninadhani kurekebisha katika hili si vibaya ndugu yangu.

Mkuu Unaposema pale kwangu au hapa kwangu maana yake wewe pekee ndiye mdau wa mahala hapo. Sasa kumbuka 'TEMEKE' ni eneo kama yalivyo maeneo mengine. Sasa unaposema 'TEMEKE Kwangu' tafsiri ya haraka haraka ni kwamba wewe ndiye final na conclusive owner of that area and all properties belongs to that.. Ilipaswa uwe specific kwa kusema 'TEMEKE kwetu' kuonyesha si peke yako unaeishi huko na wewe siyo mmilikii pekee wa TEMEKE.

Ok unasema "
....... nimesema Temeke Kwangu, si ni mkazi wa Temeke! Kuna kosa gani kupaita Temeke Kwangu! ...... "
Hivi leo nikitaka kuja kukusalimia nyumbani kwako utaniambia nije nikifika TEMEKE basi ndio kwako? Si utaniambia njoo TEMEKE kwa Aziz Ally au TEMEKE Mwisho, etc then nikifika hilo eneo utaniambia nije nyumba flani ipo Opposite na Hotel flani au ipo karibu na Mbuyu, etc? Ishu hapa ni kuwa specific to what you are writing and talking ili kurecognize kwamba TEMEKE si yako pekee. TEMEKE ni yetu sote specifically ni ya wakazi wote wa TEMEKE!

TUMBIRI (PhD, University of HULL - UK),

tumbiri@jamiiforums.com
 
Mkuu TUMBIRI...Sina haja ya kuwa na malumbano nawe ila kiukweli na kiuhalisia, sitaacha kupaita Temeke kwangu na haijarishi kuwa watu wanielewa vibaya au la coz my motive kama nilivyosema hapo hapo awali ni clean.....Na labda nikuulize..Mtu anaposema Tanzania ni nchi yangu je kwa mujibu ya tafsiri uliyotupatia ina maana kuwa anaimiliki!Nway, nisingependa kuwa na mjadala ambao hauna tija, tuna mambo mengi kama watanzania tunapashwa kuyajadili kwa mustakabali wa nchi kuliko kulumbana kwa kitu kidogo ambacho hata kikisemwa kinyume na matarajio hakiongezi wala kupunguza shida za Watanzania.Tujikite kuijenga Tanzania na kuwaandaliwa wazao wetu na wazao wao Tanzania yenye Neema Tele.Nakutakia kila la heri na asubuhi njema.
 
msisahau Busanda mbunge wao kaolewa DAR na anaishi DAR.pia KWA RAGE kakalia Rufaa ya TWITE Wa YANGA
 
Muheza pia jamani miaka 50 ya uhuru maji ya bomba hamna!
 
Chadema bunge limeisha sasa,,majembe yetu mlioko bungeni tunawategemea kujiunga na jeshi la m4c...2015 tunayahitaji majimo yanayoongozwa na:
1.kayanza Pinda
2.Lukuvi.
3Wasira
4.Anne Makinda
5.Lusinde
6.Nchemba
7.na mengine mengi
napendekeza zile pickup zikaanze kufanya kazi huko

MKUU MAGAMBA WANAJUTA KUMFAHAMU Dr SLAA WANAJUTA KUONA YUPO NJE YA BUNGE SAFARI YAO IMEWADIA M4C NI MASHINE KUBWA INAPANDA KITONGA NA SEKENKENKE KWA SPEED 120
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom