Katika muendelezo wa M4C kesho ndani ya moshi manispaa aliyekuwa mbunge wa Arusha MH.GODBLES LEMA atafanya mkutano mkubwa wa hadhara katika viwanja vya railway akishirikiana na mstahk meya wa manispaa ya mosh mh. JAFAR MICHAEL NA UTATANGAZWA MOJA KWA MOJA NA REDIO MOSHI FM KUANZIA SAA NANE MCHANA M4C DAIMA