Sahihisho mkuu,huyo diwani niwa kata ya Kimanga mkuu....nashikuru kwa habari tuliwakilisha vyema.
Hivi wewe hunapajua Tabata Kimanga? Kwanza hakuna uwanja mkutano umefanyika barabarani na barabara za Kimanga ni nyembamba sana na watu wamejibana hapo lazima uone watu wengi.
Hivi wewe hunapajua Tabata Kimanga? Kwanza hakuna uwanja mkutano umefanyika barabarani na barabara za Kimanga ni nyembamba sana na watu wamejibana hapo lazima uone watu wengi.
Kwa ufafanuzi tu. Mimi ni mjumbe wa kamati ya utendaji jimbo la segerea. Ni kweli aliyeongea mwishoni, ni Mama Shelukindo ambaye ni diwani viti maalumu, ila ni mkazi wa kipawa kwa hiyo alizunngumzia kazi fulani aliyoifanya kipawa. Narudia yeye ni viti maalumu kwa hiyo hana kata.mkuu mimi ni mwana kimanga. namfaham vizuri diwani wangu. alikuwa amevaa magwanda, sketi na blauzi. huyo wa kipawa nayekuambia alikuwa amepigia magwanda meusi, sketi na blauzi. na muda wao wa kusalimia wananchi ulipowadia, alijitambulisha diwani wa segerea (niliyempigia kura akashinda), na baadaye akasimama yule mama wa kipawa akachana laivu, yule wa kimanga hakutoa neno, alikaa tu, kwa kuwa muda wa kufunga mkutano kisheria, saa 12 jioni ulikuwa umewadia.
upooooooooooz?
Sawa mkuu tupo pamoja pia kwa ufafanuzi mzuri check comment ya Andendekyise ameiweka kwa uzuri zaidi....Aluta continue!!!mkuu mimi ni mwana kimanga. namfaham vizuri diwani wangu. alikuwa amevaa magwanda, sketi na blauzi. huyo wa kipawa nayekuambia alikuwa amepigia magwanda meusi, sketi na blauzi. na muda wao wa kusalimia wananchi ulipowadia, alijitambulisha diwani wa segerea (niliyempigia kura akashinda), na baadaye akasimama yule mama wa kipawa akachana laivu, yule wa kimanga hakutoa neno, alikaa tu, kwa kuwa muda wa kufunga mkutano kisheria, saa 12 jioni ulikuwa umewadia.
upooooooooooz?
Sawa mkuu tupo pamoja pia kwa ufafanuzi mzuri check comment ya Andendekyise ameiweka kwa uzuri zaidi....Aluta continue!!!