M4c in tanzania

M4c in tanzania

faizel

Member
Joined
Oct 30, 2012
Posts
21
Reaction score
3
ukweli kila siku uwa inauma.kuchelewa kwa maendeleo ya kidemocratia tz.sabuzake ni ukosefu ya umakini ya ya tz media.wapo lakini kama awapo.tatizo sio elimu ila ni uwoga and confusion.they do suport katiba mpya.and what for M4C?TZ MEDIA PPLS WAK UP
 
Tunaomba CHADEMA MAKAO makuu waanzishe Programu tuchangie uanzishwaji wa Radio na TV yetu wenyewe ili tuwe tunasikiliza sera na hotuba za viongozi wetu makini majukwaaaani na Bungeni. Tutashukuru sana maana MAGAMBA wanatake advantage ya CHADEMA kukosa Media zake wenyewe kuchakachua taarifa na ikumbukwe kwamba wanapotosha sera ya majimbo kuwa ni kuigawa nchi kwa misingi ya Kikabila na Maeneo. Naamini wote mnasikiliza namna gani wanavyo potosha swala la gesi ya Mtwara.

TAFAKARI!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kweli kwa nini CDM wasianzishe Tv au radio? Sisi tuko tayari kuchangia.
 
Nipo tayari kuchangia na kuwashawishi wenzangu kuchangia,Cdm fikirieni hili la kua na chombo chetu iwe tv au radio
 
Back
Top Bottom