Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,731
- 749
Subirini Dr. Nagu akija huko ataihuisha CCM. Maana kama kale ni manju wa kuongea lugha zote za makabila ya
Hanang.
Usijali itaripotiwa yote mara TV ya M4C ikianza!Mbona hiyo mikutano hairipotiwi kweny vyombo vya habar?
LOMAYANN picha moja inaongea zaidi ya maneno elfu moja, nafikiri hii lugha ya picha inafahamika sana humu JF ningekuja na maneno matupu hapa nisingeeleweka!Curriculam specialist nashukuru kwa kupost ila hii habari kidogo iko very shallow please ongeza nyama toa tathmini ya mafanikio ya operation Hanang
Mbona hiyo mikutano hairipotiwi kweny vyombo vya habar?
Apolonary sisi hatuna hela za kuhonga vyombo vya habari au kuwasafirisha wakafanye coverage ya shughuli zetu, wenyewe tunaenda kupiga kazi kwa kujitolea na kujichangisha, that is our spirit![ good lakini msiegeme upande mmoja tu kana kwamba wale wengne hawahitaji mabadiliko muende na huko vijijin zaid
Apolonary sisi hatuna hela za kuhonga vyombo vya habari au kuwasafirisha wakafanye coverage ya shughuli zetu, wenyewe tunaenda kupiga kazi kwa kujitolea na kujichangisha, that is our spirit![ good lakini msiegeme upande mmoja tu kana kwamba wale wengne hawahitaji mabadiliko muende na huko vijijin zaid
Hata Hanang ni kijijini kaka!