Sasa kipi kikubwa mlichofanya au unatafuta umaarufu!Wiki moja ya operation tokomeza CCM hanang imekamilika jana, CCM iko hoi bin taabani! Najaribu kutupia picha hapa hali ilivyokuwa! Tulipofikia CHADEMA wananchi hawahitaji majina makubwa tena, wanahitaji ujumbe wa mabadiliko tu wa CHADEMA!