Wiki moja ya
operation tokomeza CCM hanang imekamilika jana, CCM iko hoi bin taabani!
Najaribu kutupia picha hapa hali ilivyokuwa! Tulipofikia CHADEMA
wananchi hawahitaji majina makubwa tena, wanahitaji ujumbe wa mabadiliko
tu wa CHADEMA!
picha inajieleza, maelezo ya muhimu umepewa kuwa hapo ni hanang, tatizo umezoea blaa blaa wewe usizoee kutafuniwa manenoCurriculam specialist nashukuru kwa kupost ila hii habari kidogo iko very shallow please ongeza nyama toa tathmini ya mafanikio ya operation Hanang
Duh!double line,inatisha!Piga kotekote!
Wakuu hili gwanda nita lipataje?Ebu nisaidieni nime lipenda kumoyo kabisa!
Wakuu hili gwanda nita lipataje?Ebu nisaidieni nime lipenda kumoyo kabisa!