M23 watwaa mji wa Nyanzale kule DRC

Hilo ni jeshi vamizi la Rwanda linalojiita M23.
Naichukia Rwanda, M23 ,Kagame na watusi wote Dunia.

Swali la msingi la kujiuliza hata kama kweli M23 wanasaidiwa na Rwanda Sasa inakuwaje Muungano wa SADC,DRC,Burundi,Wazalendo, Wegner,FDLR,MONUSCO na makundi mengine karibu 10 wanapambaa !akini bado m23 inayo saidiwa na kanchi kadogo Rwanda bado inawachachafya vibaya.

Kama mapigano yakisimamishwa leo itakuwa aibu sana Kwa SADEC kupigwa na. Rwanda.

Chukulia mfano hata wa msumbiji. Wakati SADEC wakikusanyana kuunganisha nguvu, ye Rwanda aliingia vitani Msumbiji man alone na ndani ya wiki Moja alifanikiwa kuteka ngome ya waasi waliokuwa hatari na wamesumbua muda. mrefu.

SADEC wanaingia Msumbiji wanakuta tayari Rwanda tayari ameshapata matokeo na ushindi mkubwa dhidi ya maadui.


Tuache ushabiki, ila tukubali tu kwamba ukanda huu wa kati na kusini mwa Afrika Rwanda Ina jeshi dogo ila bora lenye umoja,muunganiko,silaha za kisasa na maarifa ya upiganaji katika mazingira youote.

SADEC wanakazi ya ziada Ili waweze kumshinda Rwanda, na yawezeka na muda Kwa Sasa sio rafiki labda miaka ya mbele baada ya kujipanga sana
 
Hawa M23 kwa estimation wanaweza kuwa na askari kama wangapi?
 
Naichukia Rwanda, M23 ,Kagame na watusi wote Dunia.

Swali la msingi la kujiuliza hata kama kweli M23 wanasaidiwa na Rwanda Sasa inakuwaje Muungano wa SADC,DRC,Burundi,Wazalendo, Wegner,FDLR,MONUSCO na makundi mengine karibu 10 wanapambaa !akini bado m23 inayo saidiwa na kanchi kadogo Rwanda bado inawachachafya vibaya.

Kama mapigano yakisimamishwa leo itakuwa aibu sana Kwa SADEC kupigwa na. Rwanda.

Chukulia mfano hata wa msumbiji. Wakati SADEC wakikusanyana kuunganisha nguvu, ye Rwanda aliingia vitani Msumbiji man alone na ndani ya wiki Moja alifanikiwa kuteka ngome ya waasi waliokuwa hatari na wamesumbua muda. mrefu.

SADEC wanaingia Msumbiji wanakuta tayari Rwanda tayari ameshapata matokeo na ushindi mkubwa dhidi ya maadui.


Tuache ushabiki, ila tukubali tu kwamba ukanda huu wa kati na kusini mwa Afrika Rwanda Ina jeshi dogo ila bora lenye umoja,muunganiko,silaha za kisasa na maarifa ya upiganaji katika mazingira youote.

SADEC wanakazi ya ziada Ili waweze kumshinda Rwanda, na yawezeka na muda Kwa Sasa sio rafiki labda miaka ya mbele baada ya kujipanga sana
Rwanda inajitahidi ili hao SADC hawajaingia kupigana confrontational war na Waasi ila ni kikosi kidogo tu cha SADC kinacholisaidia jeshi la Drc kuzuia waasi kutosonga mbele zaidi.

Isitoshe hao SADC hawajaweka zana zao zote za kivita wala kutumia uwezo wao wote walionao ila ni kama 'supporting role tu' yaani kutoa usaidizi tu japo wanapigana pia.
 
Wacha unafiki wewe roho gani inakuuma?Una roho gani kwanza wewe?Unajidai kuumwa na roho huku unashabikia watoto na wanawake kuuwawa Gaza.
Binadamu ni binadamu bila kujali dini zao.
Siku nyingine ficha unafiki wako na jali ubinadamu kwanza.
Wisdom is chasing you but you are always faster.Dundee United.
Mbona kama umepaniki sana? Cool down. Ongea taratibu tu jamaa atakusikia. But pia si unapaswa kukubali kuwa watu wana uhuru wa kuchagua wapendacho.
 
Hakuna kukaa nao dawa ni kuwachapa hawa mbwa. Hapo bado wanapambana na jesh la Congo subiri wanaume waingie kazin utasikia kilio
Wanaume wanawasubiri hao nduli wajipange halafu wawashushie kitu kizito na ndipo watajua walikuwa hawajui
 
Wacha unafiki wewe roho gani inakuuma?Una roho gani kwanza wewe?Unajidai kuumwa na roho huku unashabikia watoto na wanawake kuuwawa Gaza.
Binadamu ni binadamu bila kujali dini zao.
Siku nyingine ficha unafiki wako na jali ubinadamu kwanza.
Wisdom is chasing you but you are always faster.Dundee United.
kwan wao wa Gaza wana guswa na yenu ya Afrika huku ? jitambue bas
 
Jeshi lao la kenya lilifukuzwa kule na tshisekedi so baada ya kushindwa kufanya kilichowapeleka wakawa kazi yao kujipiga picha na kupost kwenye social media,so huyo mkenya anavyotaka majeshi mengine yashindwe pia
mtu mweusi sijui nan kakuloga , unawaza mipasuko ya kijamii muda wote
 
Rwanda inajitahidi ili hao SADC hawajaingia kupigana confrontational war na Waasi ila ni kikosi kidogo tu cha SADC kinacholisaidia jeshi la Drc kuzuia waasi kutosonga mbele zaidi.

Isitoshe hao SADC hawajaweka zana zao zote za kivita wala kutumia uwezo wao wote walionao ila ni kama 'supporting role tu' yaani kutoa usaidizi tu japo wanapigana pia.
Vita ni vita na inapiganwa kadiri ya uwezo na nguvu Ili kumshinda adui. Unafikiri Congo na washirika wake hawapendi kumsogeza nyuma m23 na kuteka ma eneo makubwa zaidi anayoyamiliki?
Au unadhani m23 kuendekeza kujitwalia maeneo zaidi kutoka mikononni mwa majeshi ya serikali ni habari njema?

Kwa Sasa m23 wanamiliki zaidi ya nusu ya Kivu kusini baada ya kuyashinda majeshi ya serikali na washirika wake kila wanapokutana na bado wanaeneelea kusonga mbele Kwa kuteka maeneo zaidi mikononni mwa majeshi ya serikali na washirika wake kitu ambacho ni aibu serikali ya drc

Kutokana na hali hii ya washirika wa Rwanda kuendelea kusonga mbele na wananchi kukosa ulinzi kutokana na kushambuliwa na waasi, Wakongomani wanaonekana kukata tamaa na kupungukiwa na matumaini waliyokuwa awali kuwa majeshi ya SADC yange wafurusha wanyarwanda wa m23 na kuteke maeneo kadhaa yanayoshikiliwa na waasi. Na bado juzi m23 walimudu kulipua gari la kivita la majeshi ya SADC mjini Sake.

Kushindwa kuwashambulia m23 na kubakia kufanya kazi ya kujilinda Kwa kuwazuia waasi wasisonge mbele ni jibu tosha kuwa FARDC na washirika wake wanaheshimu uwezo na nguvu ya m23 kwani sio Ile waliyokuwa nayo awali, Sasa hivi wako more advanced

Hali hii isiyotarajiwa ndiyo imewashtua wakuu wa majeshi wa SADC kukutana mjini Goma wiki iliyopita ambayo Kwa mujbu wa wachambuzi ni kwamba mkutano huo ilikuwa ni kwa ajili ya kujipanga upya kivita baada ya kuonja nguvu ya adui.

Ni matumaini ya Wakongomani kuwa mkutano huo utaleta tija kwenye uwanja wa vita upande wa serikali na washika wake kuliko ilivyo Sasa.
 
mshaanza leta migawanyiko , baadae mtaanza,wasingizia mabeberu kwa kushindwa kwenu
Hapo Kuna mgawanyiko upi?
Yaani mnakalia mapori ya FDLR ndiyo mnaona mmeshinda?
Si mlikuwa mnakaaa Goma? That's a victory to you?
Mnachekesha sana, jengeni nchi yenu acheni kuwa paranoid.
 
Kule ni waarabu wanachokoza Wayahudi na kujificha nyuma ya watoto, wapigwe sana tu.
Huku ni ndugu zangu waafrika ambao hawajamchokoza mtu hawana uzombi wa dini ya mwarabu, wanakutwa kwenye mashamba yao na kufukuzwa.
Sijui mnapata ilmu gani nyie na mikanzu yenu.
Wacha unafiki wewe mhutu
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Jamaa wanazidi kukatiza ndani, busara itumike ya kurejea kwenye meza ya mazungumzo, kila nikiona maelfu ya wakimbizi wanavyoteseka moyo unaniuma sana.
===================

The M23 rebel group has taken over the town of Nyanzale in eastern Democratic Republic of Congo, killing at least 15 people in bomb attacks, a local official said on Wednesday.

Nyanzale is about 130 km north by road from the provincial capital Goma, and is home to thousands of internally displaced people who fled fighting in surrounding areas.
Mtakaaje meza Moja na magaidi?
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Wacha unafiki wewe roho gani inakuuma?Una roho gani kwanza wewe?Unajidai kuumwa na roho huku unashabikia watoto na wanawake kuuwawa Gaza.
Binadamu ni binadamu bila kujali dini zao.
Siku nyingine ficha unafiki wako na jali ubinadamu kwanza.
Wisdom is chasing you but you are always faster.Dundee United.
We bwege uliwatuma hamas Oktoba 7 kwenda kuwaua Waisraeli? Wacha wapate walichokitafuta wenyewe. Waisraeli siyo watu? Hizo dini ni utumwa wa milele kwa mwafrika
 
Utakuta mtu anafurahia watu kuuwawa gaza ila anaumia wakongo kweli dini pazia jeusi machoni kwa mwafrika hasa mtz
Ajabu ni yule anayeumia kwa yanayoendelea Gaza na asitake hata kujua kinachoendelea Kongo, Msumbiji, Somalia, Nigeria.
Wao wapiganao kwa kutetea Desturi zao wanaeleweka zaidi, ila yule auaye au kuuawa kwa kutetea maslahi ya colonial Master wake, naye ni jirani yako, ANAUMIZA zaidi.
Hakika, hatuna moyo wa kufeel maumivu ya Gaza au Ukraine maana ya Kongo, Msumbiji yamejaa vifuani mwetu yasiache nafasi yoyote.
 
Jamaa wanazidi kukatiza ndani, busara itumike ya kurejea kwenye meza ya mazungumzo, kila nikiona maelfu ya wakimbizi wanavyoteseka moyo unaniuma sana.
===================

The M23 rebel group has taken over the town of Nyanzale in eastern Democratic Republic of Congo, killing at least 15 people in bomb attacks, a local official said on Wednesday.

Nyanzale is about 130 km north by road from the provincial capital Goma, and is home to thousands of internally displaced people who fled fighting in surrounding areas.
Jamaa wanazidi kukatiza ndani, busara itumike ya kurejea kwenye meza ya mazungumzo, kila nikiona maelfu ya wakimbizi wanavyoteseka moyo unaniuma sana.
 
Jamaa wanazidi kukatiza ndani, busara itumike ya kurejea kwenye meza ya mazungumzo, kila nikiona maelfu ya wakimbizi wanavyoteseka moyo unaniuma sana.
Kwa binadamu yeyote mwenye moyo w kibinadamu ukiona taabu wanayopata Wakongomani lazima moyo ukose amani.

Unajaribu kuvaa viatu vyao jinsi watoto wao wanavyohangaika na akina mama unabaki na simanzi.

Viongozi hawataki mazungumzo maana wao na familia zao hayawafiki majanga haya maana wana ulinzi mkali na wako sehemu Salama. Kama wangekuwa wanakufa watoto wa viongozi bilashaka wangeomba mazungumzo wala sio vita.

Nina uhakika vita sio chaguo la wananchi wanao teseka bali viongozi wasio athirika

Kwa hali ya unyama wanayopitia Wakongomani Kuna haja ya kumlazimisha seshekedi arudi mezani na waasi badala ya kumpatia msaada wa vikosi vya jeshi kwani haileti suruhu
 
ACHA UNDUMILA KUWILI. WEWE UNAYEFURAHIA MAUAJI WA WANAWAKE NA WATOTO KULE GAZA ETI ROHO INAKUUMA KIHUSU KONGO.
 
Back
Top Bottom