Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,956
- 13,390
- Thread starter
- #21
Nashukuru sana mkubwa kwa majibu yako na kuweza kuniondoa katika lindi la kutokuelewa utofauti ya haya makundi mawili.Ila kama kama utapata wasaa unaweza ukatufungua macho kuhusu huu ungomvi ulioko kule DRC.Magaidi ni fundamentalism yenye chachu ya kidini au imani Fulani, hawa hawana interest na rasilimali za nchi na wanakuwa hatari dhidi ya dini yeyote ilio kinyume nayo. Waasi ni kundi linalopinga serikali inayongoza nchi kwa interst ya kiuchumi au uchu wa madaraka, kundi hili hawana issue ya kidini ila wakati mwingine huwachukia sana kabila linalongoza nchi. e.g Wahutu vs. Watusi hawakuwa wanapigana kidini. Kuhusu M23 ni historia ndefu ambayop nahitaji siku nzima kukuelimisha mdogo wangu wala Marekani kama nchi haihusiki ila yamkini kuna matajiri wa marekani na nchi zingine za Ulaya wanatoa ufadhili ili kupata rasilimali katika ukanda wa madini.
Nalog off