Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,956
- 13,390
Hivi ni kwanini Wakristo wakipigana dhidi ya serikali wanaitwa WAASI na Waislamu wakipigana dhidi ya serikali wanaitwa MAGAIDI? hawa ni M23
Nalog off
Nalog off
Hivi ni kwanini Wakristo wakipigana dhidi ya serikali wanaitwa WAASI na Waislamu wakipigana dhidi ya serikali wanaitwa MAGAIDI? hawa ni M23
![]()
![]()
Nalog off
dah! kwahiyo hawa wamarekani ndio wanaopanga majina kwa makundi haya yanayopingana na serikali.inategemea una mahusiano gani na marekani!!!kuna jeshi la marekani lilienda kaskazini magharibi mwa uganda kumsaka Joseph Konyi mpaka leo hatujapata feedback Wamarekani wameingia mpaka africa ya kati wakawapa silaha jamaa wakapindua nchi huku wakichukua madini kati ya DRC na central Africa
ni kweli ndugu figganigga,sio lengo langu kuwakwaza wenzangu ila hii part ya lugha huwa inanichanganya kwa kweli,kwanini iwe hivi na ilhali hawa wote wanakuwa na lengo moja?rafiki yangu Washawasha naamini unauwezo wa kuandika thread isiyo wakwaza wenzio kama hii. next time fanya kazi haya mambo madogo. pamoja sana. mia
sawa kiongozi.Ngoja wafafanuzi wazuri waje!
Huyoooo kakimbia...! Tena inabidi aufanyie kazi wosia wa Marehemu Mr.Ebo 'badala ya kufuga ng'ombe apate masiwa yeye anfuga ndefu awe kama osama'.wale wa syria wanaitwaje?libya? watuareg wa kule mali? think positively ndugu yang
hawa wa Libya na Syria kwa kuwa wamarekani ndio wako nao bega kwa bega kwahiyo hawawezi kuwachafua.wale wa syria wanaitwaje?libya? watuareg wa kule mali? think positively ndugu yang
Mimi nikimbie niende wapi wakati mimi nimeuliza kwa kuwa nataka kujua? mbona unaziogopa ndevu zangu ndugu yangu?Huyoooo kakimbia...! Tena inabidi aufanyie kazi wosia wa Marehemu Mr.Ebo 'badala ya kufuga ng'ombe apate masiwa yeye anfuga ndefu awe kama osama'.
kweli mimi ni kilaza sasa naomba wewe ujuaye unifahamishe,tukiacha utofauti wa maneno ni nini tofauti ya hayo maneno mawili?We kweli KILAZA!!! kwanini usiungeuliza kwanza nini tofauti ya Ugaidi na Uasi??
kwa upeo wangu mdogo naona wote wanafanana kwa kuwa huwa wanaua raia wasio na hatia.Kati ya magaidi na waasi wewe unafurahishwa na watu gani? I mean naomba unichanganganulie yupi mwema na mbaya.
Hao wenye Bluu siyo Chipukizi kweli hao, wale wa chama cha camp na naniliu?Hivi ni kwanini Wakristo wakipigana dhidi ya serikali wanaitwa WAASI na Waislamu wakipigana dhidi ya serikali wanaitwa MAGAIDI? hawa ni M23
![]()
![]()
Nalog off
Hapana sio chipukizi hawa wote ni M23.Hao wenye Bluu siyo Chipukizi kweli hao, wale wa chama cha camp na naniliu?
Waasi wana lengo la kuchukua madaraka ya nchi lakn gaidi wanalenga kuwatisha watawala fulani pasipo kutaka madaraka yao. Mfano, M23 walitaka kushika dola ya DRC ilhali alshabab walipoua watu kenya hawakuwa na nia ya kumwondoa madarakani bwana Uhuru. Vivyo hivyo alqaida walipoishambulia marekani hawakuwa na lengo la kushika dola ya marekani.kwa upeo wangu mdogo naona wote wanafanana kwa kuwa huwa wanaua raia wasio na hatia.
Nalog off
Nashukuru sana kwa majibu yako,maana nilikuwa nikiwachukulia haya makundi mawili na kuyaweka pamoja narudia ahsante kwa majibu yako.Waasi wana lengo la kuchukua madaraka ya nchi lakn gaidi wanalenga kuwatisha watawala fulani pasipo kutaka madaraka yao. Mfano, M23 walitaka kushika dola ya DRC ilhali alshabab walipoua watu kenya hawakuwa na nia ya kumwondoa madarakani bwana Uhuru. Vivyo hivyo alqaida walipoishambulia marekani hawakuwa na lengo la kushika dola ya marekani.