M23 kazini.

M23 kazini.

Washawasha

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2006
Posts
16,956
Reaction score
13,390
Hivi ni kwanini Wakristo wakipigana dhidi ya serikali wanaitwa WAASI na Waislamu wakipigana dhidi ya serikali wanaitwa MAGAIDI? hawa ni M23
9898252025_0e46b9d241_o.jpg

9897445705_9906f35afc_o.jpg

Nalog off
 
inategemea una mahusiano gani na marekani!!!kuna jeshi la marekani lilienda kaskazini magharibi mwa uganda kumsaka Joseph Konyi mpaka leo hatujapata feedback Wamarekani wameingia mpaka africa ya kati wakawapa silaha jamaa wakapindua nchi huku wakichukua madini kati ya DRC na central Africa
 
Hivi ni kwanini Wakristo wakipigana dhidi ya serikali wanaitwa WAASI na Waislamu wakipigana dhidi ya serikali wanaitwa MAGAIDI? hawa ni M23
9898252025_0e46b9d241_o.jpg

9897445705_9906f35afc_o.jpg

Nalog off

rafiki yangu Washawasha naamini unauwezo wa kuandika thread isiyo wakwaza wenzio kama hii. next time fanya kazi haya mambo madogo. pamoja sana. mia
 
Last edited by a moderator:
inategemea una mahusiano gani na marekani!!!kuna jeshi la marekani lilienda kaskazini magharibi mwa uganda kumsaka Joseph Konyi mpaka leo hatujapata feedback Wamarekani wameingia mpaka africa ya kati wakawapa silaha jamaa wakapindua nchi huku wakichukua madini kati ya DRC na central Africa
dah! kwahiyo hawa wamarekani ndio wanaopanga majina kwa makundi haya yanayopingana na serikali.
Nalog off
 
rafiki yangu Washawasha naamini unauwezo wa kuandika thread isiyo wakwaza wenzio kama hii. next time fanya kazi haya mambo madogo. pamoja sana. mia
ni kweli ndugu figganigga,sio lengo langu kuwakwaza wenzangu ila hii part ya lugha huwa inanichanganya kwa kweli,kwanini iwe hivi na ilhali hawa wote wanakuwa na lengo moja?
Nalog off
 
Last edited by a moderator:
wale wa syria wanaitwaje?libya? watuareg wa kule mali? think positively ndugu yang
hawa wa Libya na Syria kwa kuwa wamarekani ndio wako nao bega kwa bega kwahiyo hawawezi kuwachafua.
Nalog off
 
We kweli KILAZA!!! kwanini usiungeuliza kwanza nini tofauti ya Ugaidi na Uasi??
 
Huyoooo kakimbia...! Tena inabidi aufanyie kazi wosia wa Marehemu Mr.Ebo 'badala ya kufuga ng'ombe apate masiwa yeye anfuga ndefu awe kama osama'.
Mimi nikimbie niende wapi wakati mimi nimeuliza kwa kuwa nataka kujua? mbona unaziogopa ndevu zangu ndugu yangu?
Nalog off
 
We kweli KILAZA!!! kwanini usiungeuliza kwanza nini tofauti ya Ugaidi na Uasi??
kweli mimi ni kilaza sasa naomba wewe ujuaye unifahamishe,tukiacha utofauti wa maneno ni nini tofauti ya hayo maneno mawili?
Nalog off
 
Kati ya magaidi na waasi wewe unafurahishwa na watu gani? I mean naomba unichanganganulie yupi mwema na mbaya.
 
Kati ya magaidi na waasi wewe unafurahishwa na watu gani? I mean naomba unichanganganulie yupi mwema na mbaya.
kwa upeo wangu mdogo naona wote wanafanana kwa kuwa huwa wanaua raia wasio na hatia.
Nalog off
 
Hivi ni kwanini Wakristo wakipigana dhidi ya serikali wanaitwa WAASI na Waislamu wakipigana dhidi ya serikali wanaitwa MAGAIDI? hawa ni M23
9898252025_0e46b9d241_o.jpg

9897445705_9906f35afc_o.jpg

Nalog off
Hao wenye Bluu siyo Chipukizi kweli hao, wale wa chama cha camp na naniliu?
 
kwa upeo wangu mdogo naona wote wanafanana kwa kuwa huwa wanaua raia wasio na hatia.
Nalog off
Waasi wana lengo la kuchukua madaraka ya nchi lakn gaidi wanalenga kuwatisha watawala fulani pasipo kutaka madaraka yao. Mfano, M23 walitaka kushika dola ya DRC ilhali alshabab walipoua watu kenya hawakuwa na nia ya kumwondoa madarakani bwana Uhuru. Vivyo hivyo alqaida walipoishambulia marekani hawakuwa na lengo la kushika dola ya marekani.
 
Magaidi ni fundamentalism yenye chachu ya kidini au imani Fulani, hawa hawana interest na rasilimali za nchi na wanakuwa hatari dhidi ya dini yeyote ilio kinyume nayo. Waasi ni kundi linalopinga serikali inayongoza nchi kwa interst ya kiuchumi au uchu wa madaraka, kundi hili hawana issue ya kidini ila wakati mwingine huwachukia sana kabila linalongoza nchi. e.g Wahutu vs. Watusi hawakuwa wanapigana kidini. Kuhusu M23 ni historia ndefu ambayop nahitaji siku nzima kukuelimisha mdogo wangu wala Marekani kama nchi haihusiki ila yamkini kuna matajiri wa marekani na nchi zingine za Ulaya wanatoa ufadhili ili kupata rasilimali katika ukanda wa madini.
 
Waasi wana lengo la kuchukua madaraka ya nchi lakn gaidi wanalenga kuwatisha watawala fulani pasipo kutaka madaraka yao. Mfano, M23 walitaka kushika dola ya DRC ilhali alshabab walipoua watu kenya hawakuwa na nia ya kumwondoa madarakani bwana Uhuru. Vivyo hivyo alqaida walipoishambulia marekani hawakuwa na lengo la kushika dola ya marekani.
Nashukuru sana kwa majibu yako,maana nilikuwa nikiwachukulia haya makundi mawili na kuyaweka pamoja narudia ahsante kwa majibu yako.
Nalog off
 
Back
Top Bottom