M-Power company

M-Power company

Tyale

Member
Joined
Sep 9, 2014
Posts
23
Reaction score
0
habar zenu wapendwa tafadhali naomba msaada anaeifaham kampuni ya Empower inashughulika na nini na ipo maeneo gani katika jiji la Mwanza na vipi kuhusu malipo yao.Natanguliza shukrani
 
Mpower au empower??kama ni mpower wapo isamilo karibu na lake primary wanahusika na mambo ya solar!!
 
jaman habari zenu naa samahanini but its just a matter of question tu ndugu zangu. personally nilifanya interview tar 19/1/2016 hapa HQ arusha ya mpower but sijapata notification yoyote kwan kuna baadhi ya marafiki zangu wamefanyiwa interview leo tar 29/1/2016 huko tabora wakaaambiwa kwamba watawajibu kwa mails pamoja na wale wa mwanza na arusha ambao ni sisi so kipi ni kweli mayb kunawengine walishafanya kama mimi mayb wamekuwa notified wanisaidie jaman
 
Back
Top Bottom