M-Pesa Gawio.

Vodacom Tanzania

Official Account
Joined
Aug 12, 2013
Posts
324
Reaction score
126
Habari njema January hii!
Vodacom Tanzania Plc tunatoa Tsh bilioni 6 za faida ya kutumia M-Pesa kwa wateja wa M-Pesa. Kujua gawio utakalopokea tuma neno KIASI kwenda 15300. [HASHTAG]#PesaniMPesa[/HASHTAG], [HASHTAG]#LipaKwaMPesa[/HASHTAG], [HASHTAG]#MPesaApp[/HASHTAG]

 
Yaani nimeanza kutumia mpesa toka 2010 na huwa nafanya miamala ya nguvu kwel,siku huwa haipiti cjatumia mpesa,ila gawio ninalopataga huwa ni 2000 tu.
Mnatumia vigezo gani kugawa hizo pesa?
 
Tatizo lenu mko kibiashara sana atakuuliza mtatukata sms moja shilling 500 hizo tu mkizikusanya zinatosha kulipa gawio lenu duh
 
Coomer nyinyi mnaibia watanzania nje nje...yaani ni BIKO njeee njeee.
 
Hawa vodacom no mcoondu kabisa, hamia Halotel, PesaNiHalotel
 
Mimi juzi mlinipa 250 sina shida nayo kama mnaitaka semewape namba mkate kwennye M-PESA
 
Nashukuru nilipata 7,000/- tena asubuhi saa 12.
 
Eheeeeee! teaaaaanaaaa nyie VODA nilikuwa na hasira na nyie sana! Tabia gani kunistua moyo wangu, eti meseji ya empesa halafu nikifungua oooops imethibitishwa nimepokea 250/= sijui kutoka faida..
Sitaki upuuzi wenu huo, mkome kabisa.
 
Miyayesho jazz band hawa voda

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…