LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Katika hali isiyokuwa ya kawaida,M/kiti wa ccm Taifa ametinga hapa Arusha mjini usiku huu wa giza kutanda!
Ametua uwanja ndogo wa ndege pale Kisongo na hata kusababisha jam kubwa isiyokuwa na ulazima.
Kwa kweli sijui anaenda kuweka malazi wapi muda huu,ila nafikiri ni jimbo la Arumeru Mashariki ndio imemfanya aje,nahisi hayuko kikazi zaidi!
Usiulize mambo ya source! Kwani nimeshudia msafara wake wenye ghasia hapa mjini.
Nawasilisha!!
UPDATES
========
Habari niliyonayo muda huu ni kwamba yule rais mstaafu wa awamu ya tatu ndani ya chama ya mafisadi Ndg William Benjamin Mkapa kesho saa moja oo nusu asubuhi atatua ndani ya A town kuongeza nguvu katika kampeni inayoiishia ukingoni na M/kiti wake wa sasa aliyekwisha tua jioni hii ya giza kutanda.
Hakika nawaambia washikaji wanapumlia ICU nyakati hii.
Mengi tutapata zaidi majaliwa ila hakika CDM WANA MUNGU SISIEM WANA PESA,na hebu tuone kama haki ilishawahi kushindwa!
Ametua uwanja ndogo wa ndege pale Kisongo na hata kusababisha jam kubwa isiyokuwa na ulazima.
Kwa kweli sijui anaenda kuweka malazi wapi muda huu,ila nafikiri ni jimbo la Arumeru Mashariki ndio imemfanya aje,nahisi hayuko kikazi zaidi!
Usiulize mambo ya source! Kwani nimeshudia msafara wake wenye ghasia hapa mjini.
Nawasilisha!!
UPDATES
========
Habari niliyonayo muda huu ni kwamba yule rais mstaafu wa awamu ya tatu ndani ya chama ya mafisadi Ndg William Benjamin Mkapa kesho saa moja oo nusu asubuhi atatua ndani ya A town kuongeza nguvu katika kampeni inayoiishia ukingoni na M/kiti wake wa sasa aliyekwisha tua jioni hii ya giza kutanda.
Hakika nawaambia washikaji wanapumlia ICU nyakati hii.
Mengi tutapata zaidi majaliwa ila hakika CDM WANA MUNGU SISIEM WANA PESA,na hebu tuone kama haki ilishawahi kushindwa!