M. J ASSAD: You Get Five or You get Zero na neno Udhaifu

GUSSIE

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
3,866
11,100
Wanabodi, Wanaomfahamu Professor Assad enzi hizo akijiita M. J Assad watakumbuka mengi sana alikuwa mtu wa haki sana sana.

Alipenda sana kutumia maneno hayo "you get five or you get Zero" hii ilitokana na yeye kutunga swali moja la accounting linalohitaji ufikiri wa hali ya juu na haraka sana na muda ukiwa ni limited sana, Kilichotokea ni wewe kufanya haraka na kuchagua jibu moja sahihi

Mara nyingi watu walipata sifuri yaani zero, Wakati wa masahihisho na kugawa makaratasi alipenda kusema"You get what you deserve "

If you get Zero means you deserve zero so work hard

If you get five means you are competent enough

Haya maneno Prof Assad alikuwa anaongea kwa kiingereza cha marekani huku akiwa kwenye lecture amepiga Jeans moja matata sana na Sandles kubwa kama mhuni fulani hivi

Professor Assad akiwa anaongea lecture huwezi kukosa kutokana na kiingereza chake cha marekani na uwezo wake wa kufundisha Kama msela huku akitumia teknolojia kubwa sana Sana

Enzi hizo udsm Professor Assad watu wa Engineering au education walienda ku opt accounting sababu Ubora wa Professor Assad

Sijashangaa kusema neno dhaifu atazidi kutumia kwani darasani alisema"We get what we deserve zero or five "

Bunge wamepata what they deserve
 
watamuelewa tu hata kama wamekaza ubongo.. #in real world the black man is who we narate as the devil in vitual world.
 
Cha ajabu kaenda kuhukumiwa na Msukuma na Kibajaji pamoja na U-Profesa wake. Siasa bwana.....!
 
Nashukuru tumejua kama ulifundishwa na Musa Assad
Hakuna aliyepita udsm iwe masters au Bachelor kule udsm business school kuanzia miaka ya 1998 asikutane na Mussa Assad

Manual yake na mwalimu wa Assad Sister wa kikatoliki Baptista ndio inatumika undergraduate

Kwa masters Mussa Assad yupo sana na kiboko ya wabishi wa accounting
 
Mbinu ya kuuwa na kuteka wakosoaji, ndio tiba ya uchumi?

Economy has crashed..tutaponaje?


Ndio hali halisi ilianza kuonekana, biashara zimeshafungwa nyingi sana.

Kodi ilianza kukosekana- TRA hawatangazi tena

Wafanyabiashara wanatekwa ili watoe pesa kwa Nguvu - MO DEWJI

Bureau De Change zikaporwa pesa- ni miezi 6 sasa, hawapelekwi mahakamani

Serikali haisemi imechukua Kiasi gani huko Bureau De change...


Hivi kama watu walikuwa na makosa, inachukua muda gani kufikishwa mahakamani?

TRA wanatesa wafanyabiashara wakubwa, wanapigwa back Date tax, wanalipa mabillioni...

Wafanyabiashara wanatozwa kodi kubwa....biashara zinaendelea kufa

Hizi ni dalili za mwanzo kabisa kuwa uchumi GDP ilikufa, ona sasa World Bank/IMF wamesema ukweli 4%

JK uchumi ulikuwa kwa 7% -- Tunarudi nyuma mara dufu

Utalii ndio umebaki..na huo utalii unadorora, haukui inavyotakiwa....TTB iko hoi kifedha REJEA CAG

Tanzania imepata 2 Billion $

Kenya imepata 2 Billion $

Sasa mwenye macho haoni kuwa utalii haukui, Kenya wana vivutio gani hadi tulingane nao?
 
Halafu kinakutana Kigenge Cha Wapumbavu kinamtaka asitumie Tena neno dhaifu wakati huo hawampi neno mbadala

Ila this time kwa Mara ya kwanza Bunge halijaombwa radhi, kina Pasco kina Omar Mahita walinywea kwa Bunge japo walikuwa sahihi
 
Halafu kinakutana Kigenge Cha Wapumbavu kinamtaka asitumie Tena neno dhaifu wakati huo hawampi neno mbadala

Ila this time kwa Mara ya kwanza Bunge halijaombwa radhi, kina Pasco kina Omar Mahita walinywea kwa Bunge japo walikuwa sahihi
Sasa ona yaliyotokea Leo
 
Wanabodi, Wanaomfahamu Professor Assad enzi hizo akijiita M. J Assad watakumbuka mengi sana alikuwa mtu wa haki sana sana.

Alipenda sana kutumia maneno hayo "you get five or you get Zero" hii ilitokana na yeye kutunga swali moja la accounting linalohitaji ufikiri wa hali ya juu na haraka sana na muda ukiwa ni limited sana, Kilichotokea ni wewe kufanya haraka na kuchagua jibu moja sahihi

Mara nyingi watu walipata sifuri yaani zero, Wakati wa masahihisho na kugawa makaratasi alipenda kusema"You get what you deserve "

If you get Zero means you deserve zero so work hard

If you get five means you are competent enough

Haya maneno Prof Assad alikuwa anaongea kwa kiingereza cha marekani huku akiwa kwenye lecture amepiga Jeans moja matata sana na Sandles kubwa kama mhuni fulani hivi

Professor Assad akiwa anaongea lecture huwezi kukosa kutokana na kiingereza chake cha marekani na uwezo wake wa kufundisha Kama msela huku akitumia teknolojia kubwa sana Sana

Enzi hizo udsm Professor Assad watu wa Engineering au education walienda ku opt accounting sababu Ubora wa Professor Assad

Sijashangaa kusema neno dhaifu atazidi kutumia kwani darasani alisema"We get what we deserve zero or five "

Bunge wamepata what they deserve
Mkuu, technology kubwa sana mna maana gani wanafunzi wake wote mnatumia hilo neno

Sent using Brain
 
Mkuu, technology kubwa sana mna maana gani wanafunzi wake wote mnatumia hilo neno

Sent using Brain
Unajua enzi hizo Assad anaanza kazi alikuwa m uoga sana kufundisha miaka ya kabla ya 1998 "Alikuwa anaitwa mbele akisimamiwa na sister Baptista, Dada wa kikatoliki Huyu accounting ilikuwa kichwani sana, Huyu sister alikuwa mzungu mwalimu na anamfundisha Assad kusimama darasani kuwa competent na sisi wanafunzi tunasikiliza, Assad alikuwa m uoga sana

Baadae alienda Kusoma Dublin, Wengine udsm tulikuwa tumekwisha aga, Tulirudi Kusoma tena Baadae Assad akiwa amerudi na si yo Yeye tena
Alirudi na vifaa vya kisasa sana, Hapo udsm kulikuwa na projector za kufundishia tu, Assad alifanya mapinduzi makubwa toka mazoea ya Projector tuliyozoea to next level of technology

Kwanza Yeye ni master of computer technology usione mwili ule ni msela sana yule
 
Akumbuke kuwa bunge sio wanafunzi wake, pamoja na mbumbumbu wengi walijaa mule lakini ule ni mhimili wa dola.
 
Back
Top Bottom