Lyrics Identification Challenge

Siku mbaya-dizasta vina
 
Four scores and seven years ago, our fathers brought forth in this continent, a new nation conceived in liberty, and dedicated to the proposition that everyone was created equal and now we are in days of...
 
bado bwana mdogo ila wakubwa wananisalimia
mtu kimaisha akiunguka wanamsaidia
kiroho zaidi huwa sijui kuvunga kama black spear
vip unaskia na unaamini, wakati umefunzwa usiamini tu
usichokiona my dear.....
 
Moja nikawakanya,mbili nikawafata askari nikawaonya maneno ya kipumbavu waache kuyatawanya,
Laa sivyo kitu kibaya ningewafanya,

Ndipo wakadhani et nilikuwa nawadanganya,
Nilipoondoka nyumaa wakanisonya,
nikapiga simu na boss wao nikamkanya,


Twende na hiyo wale malegendar
 
1,9,8,9 novemba 14,
Mbele ya mlango wa kanisa nikazaliwa mtoto wa kiume,
Mama alikuwa na happy coz sikupata kasoro,

Najua haujui wapi ilikuwa mji kasoro,kwavile the last born nilidekezwa usiku na mchana,

Nilipenda Sana corn kuliko ziwa la mama,hawakujua dalili Ni Nini kitatokea,

Kumbe Ni rapa mahili ndo hivo nilijongea,mara nikaanza kurap
Masela wakaniita fara,

Hey man please stop fanya mziki wa biashara,nilitaka niache kuchana nianze kubana pua,
Hawakujua nachofanya Kama siku nitatusua.
Mademu waliniita popo kwavile sikuwap...
Mixer kurusha makopo kipindi Cha talent show.


kazi kwenu
 
Feeling my way through the darkness guided by a beating heart i can't tell where the journey will end but i know where to start they tell me i'm too young to understand they say i'm cought up in a dream well life will pass me by if i don't open up my eyes well that's fine by me. So wake me up when it's all over.



one of my all the time favorite song
 
Wake me up-Avicii
 
,,,wimbo gani uo?
 
Four scores and seven years ago, our fathers brought forth in this continent, a new nation conceived in liberty, and dedicated to the proposition that everyone was created equal and now we are in days of...
Hii nyimbo gani?
 
Sikh mbaya_Dizasta vina
 
Fid q ..... Jna la wimbo nimesahau kdg
 
"Nipikie kuku kuku,
Hizi hela nususu,
Za madera zikikukera niambie duku duku,
Hali ya hewa inaruhusu,
Tukikaa tupu tupu,
Ukaniama nikaunga tela huku nashika supu supu.."
Young killer secreto
 
"Nasikia kutushusha mmekula nia.

Owkay sisi tunakula bia.

Mpo far tupo near.

Namsipo kaza tutawakazia."

KAZI KWENU
 
Whitney Houston
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…