Mabeberu waliwatumia vibaraka kupenyeza maslahi yao kwenye nchi zetu wakati wa vuguvugu la ukombozi.
Haiyumkiniki CCM inatumia sytle ya mabeberu kupenyeza na kutumia vibaraka kudhoofisha upinzani ili nchi isipige hatua za maendeleo
Anatumia kanuni ya BANIANI MBAYA.... eeh?==> Wee nae msanii kweli...Mrema ni mtu wa kum quote or kumsikiliza...!!??
==> Wee ndio una matatizo.... mwacheni mzee wa watu atleast mapunye yemepona kidogo...kama sio JK huenda asinge kuwa hai...aache kumsifia .??
anajipendekeza ccm ili apewe mafao ya Unaibuu waziri mkuu..anazeeka vibaya...ndo ubunge wake wa mwishoo.. amekwesha kisiasa...
Unakumbuka kwenye kila kikao cha Mbatia na taasisi yake(CHADEMA walisusia),Kikwete alimwambia waziri wake amtengenezee mafao mazuri ya kustaafu Bw Lyatonga?
Ndugu wana JF huyu mzee na yule mzee wa mapesa na profesa uchwara Lipumba kweli wana njaa kupitiliza kipimo. Hivi watu wazima kama wale kwa maisha ya kinafiki kama yale wanajionaje katika jamii maana ni aibu kubwa sana kwa binadamu kuishi na kusaliti kitu ambacho unakiamini ili kupata kamkate ka kila siku. Huyu mzee na kina mbatia ni CCM na ndiyo wapinzani wakuu wa vyama vya upinzani ni vyema wananchi wakawatambua na kuwakataa ili wakalambe makombo huko CCM maana ni watu hatari katika jamii. Shame on these WANAFIKIs.
Njaa mbaya sana
Lyatonga ni mzalendo...
Mkuu, nilitumia lugha ya mfano hapo. Ni kwamba Mrema anatumika kama walivyokuwa wanatumika vibaraka enzi zile...
Mkuu kwa swala la MREMA binafsi naona...........NJAA......ndo mpango mzima.......huyujamaa hana uhusiano hata kidogo na mabeberu..............alitambua tu kucheza karata zake pale mambo yalipomuendea mrama...........kumbuka hata Lugha ya Malkia ilikuwa inampiga saana chenga ( natambua wanaotumiwa na mabeberu sio lazima waongee Kingereza)........hakuwa exposed kihivyo....