Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Ni mmoja wa Tanzania ambao siasa za Tanzania wanazijua A to Z.
Aliwahi kutoa siku saba kwa majambazi kusalimisha bunduki na majambazi wakasalimisha silaha, silaha zikachomwa kama kuni.
Alipoibua ufisadi wa Singasinga Chavda juu ya mashamba ya mkonge aliyoyapata kwa ufisadi, alijikuta anapewa cheo cha unaibu Waziri Mkuu wakati hakipo kikatiba.
Mwaka 1995 nusura achukue Urais wa JMT, CCM ilinusuruka baada ya hayati JKN kuingilia kati.
N.B ni mmoja wa wazalendo wa Tanzania anayemkubali mzalendo mwenzake JPM
Aliwahi kutoa siku saba kwa majambazi kusalimisha bunduki na majambazi wakasalimisha silaha, silaha zikachomwa kama kuni.
Alipoibua ufisadi wa Singasinga Chavda juu ya mashamba ya mkonge aliyoyapata kwa ufisadi, alijikuta anapewa cheo cha unaibu Waziri Mkuu wakati hakipo kikatiba.
Mwaka 1995 nusura achukue Urais wa JMT, CCM ilinusuruka baada ya hayati JKN kuingilia kati.
N.B ni mmoja wa wazalendo wa Tanzania anayemkubali mzalendo mwenzake JPM