Peter Simba
Senior Member
- Nov 23, 2016
- 191
- 173
kwani kuna ubaya gani ukisifia na kukubali jitihada za mpinzani wako kama anafanya mazuri kwa wananchi?Kuna taarifa inasambaa mitandaoni ikidai nilisema hivi:
Nakanusha maneno yanayosambazwa mitandaoni na kundi la watu nisiojua lengo lao.
Huwa sijibizani na hasa ninapolishwa maneno. Nina uzoefu wa kesi ya kwanza ya ugaidi nchi hii na kilichofanyika kupitia mitandao.
Wanaoweka maneno mitandaoni wanashindwa nini kuweka clip ya video ikionyesha hotuba yangu ya dk 5 niliyoyaongea kwenye Mkutano Bukoba?
Mimi ni nyani mzee, nimeshakwepa mishale mingi. Huo haunipati ng'o".
3.1.2017.
WILFRED LWAKATARE MBUNGE WA BUKOBA MJINI (CHADEMA).
Uwa - huwakwani kuna ubaya gani ukisifia na kukubali jitihada za mpinzani wako kama anafanya mazuri kwa wananchi?
wanasiasa mnapaswa kuwa sawa na makocha wa mpira wa soka,,kwa kawaida uwa hawakosi tambo ila kabla na baada ya mchezo ukiri na kusifia mazuri ya mpinzani wake mbele ya vyombo vya hbr so nanyi muige mfano huo,,SIASA SIO VITA WALA UHADUI BALI NI MKUSANYIKO WA MAWAZO CHANYA YA WACHACHE BILA KUJALI ITIKADI YA CHAMA WALA IMANI KWA MASLAI YA WENGI!!!
English medium zimetuaribu mkuu,, asante sanaUwa - huwa
Ukiri - hukiri
Uhadui - uadui
Maslai - maslahi
Wewe ni Mtanzania?
Mkuu kuna cdm mbili ipo maslahi na wale wa itikadi kindaki ndaki Salary Slip namheshim na naamini yy ni cdm kindakindaki na sio maslahi na siamini hufarihishwa na cdm maslahi wanaomuona mbowe ni mungu mtuKataa kutumika
Kataa kuwa Suruali la Mbowe
Jamaa kashtuka
Pole
Umeanzisha uzushi mwingine, Lumumba bwana hamuachi asili kila kitu ni uzushi.Nina mashaka na aliye andika huu Ujumbe kama ni Wilfred Lwakatare.
Lwakatale, bottomline ni kuwa hata kama JPM anafanya mazuri, as long as anakanyaga katiba , anakanyaga haki za binadamu, anavunja sheria kisha anafunika dhambi kubwa kama hizo kwa "kumwonea" Mramba wa Tanesco na Mwele wa NIMR, and many others, this is not acceptable! Hivyo viduchu afadhali turudi kwa JK na ufisadi as long as we are free men in our free country!Kuna taarifa inasambaa mitandaoni ikidai nilisema hivi:
Nakanusha maneno yanayosambazwa mitandaoni na kundi la watu nisiojua lengo lao.
Huwa sijibizani na hasa ninapolishwa maneno. Nina uzoefu wa kesi ya kwanza ya ugaidi nchi hii na kilichofanyika kupitia mitandao.
Wanaoweka maneno mitandaoni wanashindwa nini kuweka clip ya video ikionyesha hotuba yangu ya dk 5 niliyoyaongea kwenye Mkutano Bukoba?
Mimi ni nyani mzee, nimeshakwepa mishale mingi. Huo haunipati ng'o".
3.1.2017.
WILFRED LWAKATARE MBUNGE WA BUKOBA MJINI (CHADEMA).
Mkuu heri iwe nawe pia. Korea sipajui mkuu, ilikuwa ni Hong Kong and Im back.bado uko Korea Chakaza? Heri ya mwaka mpya
MOTOCHINI kheri ya mwaka mupya! Huonekani jukwaani mkuu, au ulienda kula migebuka na mawese na ukakuta mitandao ya 4G haipatikani huko? Karibu tena, ila mzee wako kaharibu tena huko kwenye senene kajisahau kuwa yeye ni kiongozi wao akafikiri wale wako Darfur
Tatizo moja kubwa kwa style hii ni kwamba umma utawaelewa lengo lenu? kama hautawaelewa basi ujue mumekwisha japo ni style nzuri lakini si kwa siasa za tanzania. Wahasimu watatumia upenyo huo huo kuwa hata wao wanaunga mkono juhudi zetu. naomba niwe tofauti na mawazo yangu.Kuwa smart hata kidogo wewe!! UKAWA wameamua kuto kumkosoa Mtakatifu John huku waki mpigia makofi wakati anajikaanga na mafuta yake mwenyewe kama Kitimoto. Inshort wame mtupia kamba ili ajinyonge mwenyewe.
Heee mie kumbe ni poor kabisa kwenye jiografia! nilijua Hong Kong ni Korea!Mkuu heri iwe nawe pia. Korea sipajui mkuu, ilikuwa ni Hong Kong and Im back.
Tutaamini vipi kaka ni yeye Rwakatare
ndo umeandika nini hapo? maneno ya Lwakatare yamekuvuruga?Tutaamini vipi kaka ni yeye Rwakatare
kuukanusha upotosha mapema ni muhimu zaidi. Lwakatare yuko sahihi kabisaAjikite kulisaidia jimbo katika ahadi zake majibizano hayatawasaidia wananchi ...tunamkumbusha atekeleze ahadi zake ikiwemo ule wa 'tushirikishane'
Propaganda machinery ya haya maCCM ni very primitive. Msg ni hiyo hiyo waliyosema imetolewa na Nasari.Kuna taarifa inasambaa mitandaoni ikidai nilisema hivi:
Nakanusha maneno yanayosambazwa mitandaoni na kundi la watu nisiojua lengo lao.
Huwa sijibizani na hasa ninapolishwa maneno. Nina uzoefu wa kesi ya kwanza ya ugaidi nchi hii na kilichofanyika kupitia mitandao.
Wanaoweka maneno mitandaoni wanashindwa nini kuweka clip ya video ikionyesha hotuba yangu ya dk 5 niliyoyaongea kwenye Mkutano Bukoba?
Mimi ni nyani mzee, nimeshakwepa mishale mingi. Huo haunipati ng'o".
3.1.2017.
WILFRED LWAKATARE MBUNGE WA BUKOBA MJINI (CHADEMA).