Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,952
- 4,326
Hawa ndiyo wabunge tunaotaka. Mbunge ni mwakilishi wa wananchi wote jimboni mwake: wa vyama vyote na wasio na vyama, waliompa kura na wasiompa kura. Lengo kuu la mbunge ni kuleta maendeleo kwa jimbo lake. Maendeleo na ufisadi ni incompatible.
Big up Lwakatare. Hope wabunge vijana kama akina Mdee, Lissu na Lema watajifunza kwa hawa wazee wao.
Big up Lwakatare. Hope wabunge vijana kama akina Mdee, Lissu na Lema watajifunza kwa hawa wazee wao.