Peter Simba
Senior Member
- Nov 23, 2016
- 191
- 173
kwani kuna ubaya gani ukisifia na kukubali jitihada za mpinzani wako kama anafanya mazuri kwa wananchi?Kuna taarifa inasambaa mitandaoni ikidai nilisema hivi:
Nakanusha maneno yanayosambazwa mitandaoni na kundi la watu nisiojua lengo lao.
Huwa sijibizani na hasa ninapolishwa maneno. Nina uzoefu wa kesi ya kwanza ya ugaidi nchi hii na kilichofanyika kupitia mitandao.
Wanaoweka maneno mitandaoni wanashindwa nini kuweka clip ya video ikionyesha hotuba yangu ya dk 5 niliyoyaongea kwenye Mkutano Bukoba?
Mimi ni nyani mzee, nimeshakwepa mishale mingi. Huo haunipati ng'o".
3.1.2017.
WILFRED LWAKATARE MBUNGE WA BUKOBA MJINI (CHADEMA).
wanasiasa mnapaswa kuwa sawa na makocha wa mpira wa soka,,kwa kawaida uwa hawakosi tambo ila kabla na baada ya mchezo ukiri na kusifia mazuri ya mpinzani wake mbele ya vyombo vya hbr so nanyi muige mfano huo,,SIASA SIO VITA WALA UHADUI BALI NI MKUSANYIKO WA MAWAZO CHANYA YA WACHACHE BILA KUJALI ITIKADI YA CHAMA WALA IMANI KWA MASLAI YA WENGI!!!