VPN USED2020OCTOBER28
JF-Expert Member
- Oct 27, 2011
- 1,505
- 671
Mungu ampe nguvu
Wakuu,
Kwa taarifa za uhakika nilizo nazo ni kuwa Ndg Lwakatare wa CHADEMA ni mgonjwa na kalazwa.
Ndugu Lwakatare amelazwa toka jana na yupo hospitali ya Ndolage ya mjini Bukoba.
Taarifa zaidi, watu ndani ya CHADEMA watafafanua nini kinamsibu.
Ndolage ipo bukoba mjini au kamachumu
hii ni safari ya pili sasa,
Wakuu,
Kwa taarifa za uhakika nilizo nazo ni kuwa Ndg Lwakatare wa CHADEMA ni mgonjwa na kalazwa.
Ndugu Lwakatare amelazwa toka jana na yupo hospitali ya Ndolage ya mjini Bukoba.
Taarifa zaidi, watu ndani ya CHADEMA watafafanua nini kinamsibu.
Kwani mwisho mara ngapi?
Innaillah wainnaillah rajuun (Hakika sisi ni wa mwenyezi mungu na kwake ni marejeo)Wakuu,
Kwa taarifa za uhakika nilizo nazo ni kuwa Ndg Lwakatare wa CHADEMA ni mgonjwa na kalazwa.
Ndugu Lwakatare amelazwa toka jana na yupo hospitali ya Ndolage ya mjini Bukoba.
Taarifa zaidi, watu ndani ya CHADEMA watafafanua nini kinamsibu.
Kwani kuugua kuna hesabiwa umeugua mara ngapi? Ugonjwa hauna hodi
Hii imekaaje mkuu Ta Muganyizi?
Wakuu,
Kwa taarifa za uhakika nilizo nazo ni kuwa Ndg Lwakatare wa CHADEMA ni mgonjwa na kalazwa.
Ndugu Lwakatare amelazwa toka jana na yupo hospitali ya Ndolage ya mjini Bukoba.
Taarifa zaidi, watu ndani ya CHADEMA watafafanua nini kinamsibu.
M/Mungu ampe tahfif In shaa Allah
Ndolage town clinic iko bukoba mjiniKwa nguvu za mungu umepona.