Nampa pole za dhati Ndugu Godbless Lema. Nilikuwa pale Viwanja vya Jangwani Dar es salaam siku ya Uzinduzi wa Vuguvugu la Mabadiriko (Movement For Change). Maelfu na maelfu ya vijana walionyesha mapenzi makubwa na huruma nyingi kwake.
Walionyesha kukubaliana na dhana iliyonyuma ya Waraka wa Lema kuwa Mh Lema alidhulumiwa kwa kunyang'anywa Ubunge. Ushauri wangu kwake Mh Lema ni kuwa aandike Waraka wa Pili wa Lema na katika waraka huu wa pili aeleze kwa kirefu na kwa uwazi juu ya mkutano wake na Rais anaosema ulifanyika Osterbay 2010: nani aliomba uwepo mkutano, ulifanyika wapi, na yepi yaliyozungumzwa.
Namuomba aweke wazi mazungumzo yao na mazingira ya kufanyika kwake. Katika mahakama hii ya nguvu ya umma ni vizuri umma ujue kwa kina kwa nini Mh Lema anadhani anaweza akadhurika ikiwa mkuu amekasirishwa na yeye Lema kutotekeleza waliyokubaliana Osterbay 2010.
Ndugu yangu Nico Eatlawe nakuomba uusome Waraka wa Lema kama unavyosoma Waraka wa Mitume wa Yesu, "between the lines," na pole vile ukuwepo pale Jangwani Dar es Salaam maana vijana kwa maelfu na maelfu wamemkubali Mh. Lema na Waraka wake ni njia nzuri ya kujiami dhidi ya madhara yanayoweza kumpata kutokana na kukubalika huko.
Kukubalika kwa Mh. Lema Arusha Mjini sasa kumesambaa nchi nzima baada ya kunyanganywa Ubunge na ili si jambo dogo. Kumbuka Mh Zitto Kabwe umaarufu wake uliubuka kutokana na kusimamishwa Ubunge tu kwa muda lakini Mh. Lema amepigwa na kudhalilishwa na polisi , amewekwa rumande na Mh. Livingstone Lusinde alikejeli kuwekwa kwake rumande.
Na mwisho wa siku akanyanyanganywa Ubunge mara tu baada ya kuonyesha anapendwa pia hata Arumeru Mashariki. Huyu wako wapambe wa wakubwa wa nchi bila shaka wanaweza wakajituma kumwenyesha hata sumu. Tusipuze uwezekano huu. Tumpe moyo Mh Lema.
Kumbuka mambao mbali mbali yaliyowahi kuwasibu msusuru wa watu mbali mbali toka Gavana Balali, Harrison Makyembe, Rostam Aziz hadi Edward Lowasa...Mh. Lema anapendwa sana na vijana wa kijiweni na wanamwamini...Tumpe Mh Lema moyo aendelee kuwaelimisha hawa vijana wa kijiweni...
Tusimzidishie uchungu wake wa haki kwa kudhulumiwa na uonevu wote ambao amepata hadi sasa kwa kumuhukumu hata kabla hajatusimulia kisa kizima tangu Osterbay Oktoba 2010 hadi Arusha tarehe 5 Januari 2011 hadi juzi kuvuliwa ubunge katika mazingira ya kisheria tatanishi.
Mungu si Athumnai bwana, ipo siku ukweli utashinda uzandiki!!! Ishara kuu yenye kuashiria nyota njema ni kukubalika kwa Mh. Lema kwa maelfu na maelfu ya vijana wa nchi hii.
Mwl. Lwaitama
Hivi haujagundua Lwaitama anamtusi Lema? na anawatusi vijana wanaoshabikia pasi kujua ukweli?
unamjua Lwaitama?
Nawashangaa sana wafuasi wa CDM! Kwa kweli wanajidanya sana kusema eti Lema anakubalika sana Arusha,watu wa Arusha kwa sasa hawamtaki kabisa LEMA wanamtaka Lema ni vijana wa vijiweni ambao ugumu wa maisha katika kipindi ambacho Lema alikuwa mbunge wa kuleta vurugu wao walikuwa hawauoni sijui kwa sababu hawana kazi za kufanya.Lakini kwa watu wote waliojiajili,wafanyakazi na wafanyabiashara kubwa na ndogo ndogo hawamtaki kabisa .Na mtaliamini hilo pindi uchaguzi mdogo ukiitishwa na Lema na CDM kushindwa vibaya sana.CCM wameliona hilo na wamejipanga hivyo wanaodhani Lema anakubalika Arusha wasubili kupatwa na mshtuko wa moyo. Wiki iliyopita nilikuwa Arusha na watu wengi sana wanaongelea furaha yao ya maisha kuanza kurudi kwani hata mikutano mikubwa kama ulioisha jumamosi ilikuwa ni ngumu kuletwa Arusha,Wageni walikuwa hawaendi Arusha walikuwa wanatua Nairobi na kuja Tz kutembelea mbuga zetu au kutua KIA na kupelekwa moja kwa mbugani bila kukaa Arusha kama ilivyozoeleka kutokana na vurugu za LEMA na CDM yake.Hivyo chadema wanajidanganya wafanye research waone ili wajipange.
Nawashangaa sana wafuasi wa CDM! Kwa kweli wanajidanya sana kusema eti Lema anakubalika sana Arusha,watu wa Arusha kwa sasa hawamtaki kabisa LEMA wanamtaka Lema ni vijana wa vijiweni ambao ugumu wa maisha katika kipindi ambacho Lema alikuwa mbunge wa kuleta vurugu wao walikuwa hawauoni sijui kwa sababu hawana kazi za kufanya.Lakini kwa watu wote waliojiajili,wafanyakazi na wafanyabiashara kubwa na ndogo ndogo hawamtaki kabisa .Na mtaliamini hilo pindi uchaguzi mdogo ukiitishwa na Lema na CDM kushindwa vibaya sana.CCM wameliona hilo na wamejipanga hivyo wanaodhani Lema anakubalika Arusha wasubili kupatwa na mshtuko wa moyo. Wiki iliyopita nilikuwa Arusha na watu wengi sana wanaongelea furaha yao ya maisha kuanza kurudi kwani hata mikutano mikubwa kama ulioisha jumamosi ilikuwa ni ngumu kuletwa Arusha,Wageni walikuwa hawaendi Arusha walikuwa wanatua Nairobi na kuja Tz kutembelea mbuga zetu au kutua KIA na kupelekwa moja kwa mbugani bila kukaa Arusha kama ilivyozoeleka kutokana na vurugu za LEMA na CDM yake.Hivyo chadema wanajidanganya wafanye research waone ili wajipange.
hakuna ujinga ulio ujinga mtupu!
.Nawashangaa sana wafuasi wa CDM! Kwa kweli wanajidanya sana kusema eti Lema anakubalika sana Arusha,watu wa Arusha kwa sasa hawamtaki kabisa LEMA wanamtaka Lema ni vijana wa vijiweni ambao ugumu wa maisha katika kipindi ambacho Lema alikuwa mbunge wa kuleta vurugu wao walikuwa hawauoni sijui kwa sababu hawana kazi za kufanya.Lakini kwa watu wote waliojiajili,wafanyakazi na wafanyabiashara kubwa na ndogo ndogo hawamtaki kabisa .Na mtaliamini hilo pindi uchaguzi mdogo ukiitishwa na Lema na CDM kushindwa vibaya sana.CCM wameliona hilo na wamejipanga hivyo wanaodhani Lema anakubalika Arusha wasubili kupatwa na mshtuko wa moyo. Wiki iliyopita nilikuwa Arusha na watu wengi sana wanaongelea furaha yao ya maisha kuanza kurudi kwani hata mikutano mikubwa kama ulioisha jumamosi ilikuwa ni ngumu kuletwa Arusha,Wageni walikuwa hawaendi Arusha walikuwa wanatua Nairobi na kuja Tz kutembelea mbuga zetu au kutua KIA na kupelekwa moja kwa mbugani bila kukaa Arusha kama ilivyozoeleka kutokana na vurugu za LEMA na CDM yake.Hivyo chadema wanajidanganya wafanye research waone ili wajipange.
Sasa wewe ndio mjinga zaidi! Tanzania ni masikini kwasababu ya wananchi wake kuendelea kukiamini Chama cha Magamba, Mafisadi na Majambazi wa rasilimali zake! This is one of the stupid comments I have ever seen in JF!Mkuu Yericko,
Nilidhani na wewe ni great thinker kumbe hamna kitu unapoteza muda wako kusikiliza ujinga wa Lema kweli Tanzania ni masikini si kwa bahati mbaya bali ni matokeo ya wananchi wake kuwaamini wanasiasa wa hovyo.
Tanzania unaweza ukawa na mashabiki hata kama ww ni mjinga au hamnazo
mifano mingi tusijaze server, kwa tanzania unaweza ukawa 'msanii' na bado ukashabikiwa na uka-wainfluence wanafunzi kuandika mashairi yako kwenye NECTA!!
I will choose all MPs in CDM but not Lema, is just another bogus!! huwezi kusimama jukwaani badala ya kutangaza sera za chama chako au utawafanyia nini, wewe unasema mwanamke yule kapewa mimba na mwanaume yule...yet he is hero??...common guys!!
.
Thank us by at least restoring your lost senses
Na kila ujinga una hekima ya ueruvu ndani yake ambayo inaweza kuonwa na asiye mjinga.
Kwa mfumo wa intelijensia ya nchi yetu ni kuwa kila walipo watu kumi mmoja ni nyoka!
Hapo kwenye blue ina maana na JK ni kati yao? Domo lako halina break.
Mwl. Lwaitama na watu wote,
Ni vema ifahamike kuwa Mh. Godless Lema aliupata ubunge katika mazingira magumu sana. Lakini muda mfupi baadaye tulishuhudia vurugu zisizokuwa na sababu na kusababisha fifo vya watu wasikuwa na hatia. Vilevile, mambo yalizidi kuwa magumu kwani watu wachache walitengeneza kesi ya ajabu ambayo wananchi bado tuna mashaka na hukumu ya kumvua ubunge Mh. Lema. Nataka kushawishika kwamba Arusha huenda iliandaliwa kuwa chini ya uongozi wa mbunge wa kiislamu. Pia naona mvutano juu ya Lema ni dalili kwamba maandiko matakatifu katika kitabu ninachokiamini na kukitumia mimi na wengine kina unabii wa kweli juu ya chuki za watu kwa mtu apendaye haki. "Hata wakawashawishi watu waliosema, Tumemsikia mtu huyu akinena maneno ya kumtukana Musa na Mungu.Wakawahatarakisha watu na wazee na waandishi, wakamwendea, wakamkamata, wakampeleka mbele ya baraza. Wakamsimamishia mashahidi wa uongo waliosema, Mtu huyu haachi kusema maneno ya kukufuru juu ya mahali hapa patakatifu na juu ya torati." (Bible=> Matendo ya Mitume 6:11-14). Watu wote mjue hukumu ya kumvua Lema ubunge jimboni Arusha ni sawa na hili la watu na tukio alilofanyiwa mtumishi huyu katika Neno la Mungu. Hata vitendo vya kupigwa bakora au mabomu kwa wakati huu ni mambo yaliyokuwepo tangu zamani.
Kuhusu kumtaka G. Lema aweke wazi mazungumzo ya kule Oysterbay mwaka 2010, ni jambo zuri lakini tusubiri Wakuu wa nchi watasema nini! Hakuna sababu ya kuandika waraka mwingine. Inatosha. Mwisho, Lema hapendwi na vijana wa vijiweni bali anapendwa na wananchi wote wapenda haki hapa Arusha na kwingeneko.Uandikapo kuwa anapendwa na vijana wa vijiweni zaidi ni kumdhalilisha Mtumishi wa Mungu na Mbunge huyu wa kabla ya Aprili, 2012. Je! Unakubaliana na hayo?