Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Wakati anafanya shughuli zake bungeni huwa anaongea mengi sana.
Kati ya anayo yaongea mara nyingi huwa yanageuka kuwa ya kweli na kuonekana na kila mtanzania.
Haya ya kuuzwa au kumilikishwa kwa rasilimali za taifa iwe pale Ngorongoro na bandari zetu kumbe tayari mh Lema alisha yazungumza pale bungeni.
Ili taifa letu lisiwe linaingia kwenye misukuko suko kama ya bandari na Ngorongoro basi nashauri wampatie nafasi mh Lema awe ndiye mtabiri mkuu wa mambo ya kisiasa.
Naomba kila Mtanzania amsikilize mh Lema kwenye hii video fupi ataelewa nini namaanisha.
Kati ya anayo yaongea mara nyingi huwa yanageuka kuwa ya kweli na kuonekana na kila mtanzania.
Haya ya kuuzwa au kumilikishwa kwa rasilimali za taifa iwe pale Ngorongoro na bandari zetu kumbe tayari mh Lema alisha yazungumza pale bungeni.
Ili taifa letu lisiwe linaingia kwenye misukuko suko kama ya bandari na Ngorongoro basi nashauri wampatie nafasi mh Lema awe ndiye mtabiri mkuu wa mambo ya kisiasa.
Naomba kila Mtanzania amsikilize mh Lema kwenye hii video fupi ataelewa nini namaanisha.