Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,328
Mbunge wa Mtera mheshimiwa Lusinde Livingstone aka Kudadeki yuko Tb ccm kwenye kipindi cha jambo leo akiwa na Mrema wakijadili ubadhirifu wa fedha za serikali za mitaa.
ameshaponda wabunge kuja JF
Mbunge wa Mtera mheshimiwa Lusinde Livingstone aka Kudadeki yuko Tb ccm kwenye kipindi cha jambo leo akiwa na Mrema wakijadili ubadhirifu wa fedha za serikali za mitaa.
Jamaa amefunga vizuri! Kwenye jambo jema apewe credit!
mnakuja mnadanganywa hapa eti ooh chadema, sijui ooh nasari ataleta ajira na soko, ajira atazitoa wapi? Watu hawana shukrani anasimama hapa dk slaa anatukana ccm, hawajafanya kitu, hawajafanya kitu, shule alizosoma yeye zimejengwa na baba yake? shule zimejengwa na serikali ya chama cha mapinduzi, watu wanajiita wamesoma chuo kikuu (chuo hicho) kimejengwa na serikali ya chama cha mapinduzi, nionesheni hapa chuo walichojenga CDM. . . hakunaaa!
Mbunge wa Mtera mheshimiwa Lusinde Livingstone aka Kudadeki yuko Tb ccm kwenye kipindi cha jambo leo akiwa na Mrema wakijadili ubadhirifu wa fedha za serikali za mitaa.