jobe ayoub
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 203
- 99
Leo dodoma,
kaulizwa swali na mtangazji wa tbc1.
unaionaje bajeti hii.
kaisifia sana na kusema itasaidia sana wananchi na zaidi anaipongeza serikali kwa kutenga bilioni 500 za maji..
hilo cha mtoto,
kibaya zaidi anadai eti anawashangaa kwanini mamantilie atumie line nne za simu wakati yeye mbunge anatumia line ya mtandao moja tu.(hajui kupiga simu voda vs tigo or zain or zantel ni cost kuliko tigo to tigo or voda to voda
labda nimkumbushe LUSINDE na ccm yake.
watu tunatumia line tofauti tofauti kupunguza ghalama(ku-minimize cost),
sasa mmepandisha tena si ndio balaa!!
kaulizwa swali na mtangazji wa tbc1.
unaionaje bajeti hii.
kaisifia sana na kusema itasaidia sana wananchi na zaidi anaipongeza serikali kwa kutenga bilioni 500 za maji..
hilo cha mtoto,
kibaya zaidi anadai eti anawashangaa kwanini mamantilie atumie line nne za simu wakati yeye mbunge anatumia line ya mtandao moja tu.(hajui kupiga simu voda vs tigo or zain or zantel ni cost kuliko tigo to tigo or voda to voda
labda nimkumbushe LUSINDE na ccm yake.
watu tunatumia line tofauti tofauti kupunguza ghalama(ku-minimize cost),
sasa mmepandisha tena si ndio balaa!!