ukija huku mvumi,sis wanamtela kiukwel hatuna mbunge,mbunge anashinda kwenye vilabu vya pombe badala ya ofisin kwake.najua wanaCCM mpo huwa tunawaomba mmwambie mbunge wetu lusinde upunguze kunywa pombe za kienyej na kushinda vilabuni ili akae ofisin kwake atekeleze majukum ya wanamtera