ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,161
- 1,460
Wadau wa Urembo
Kwanza mi sina ufahanu zaidi juu ya masuala ya urembo pamoja na kamati hii ya Miss Tanzania, tatizo langu ni tangu nianze kusikia urembo nchini hili jina la huyu Mzee Lundenga lipo kila siku, hivi huwa anachaguliwa au ndiyo mwenyekiti wa maisha?
Ukisikia Ludenga basi ujue shughuli ya ma miss imeanza, nihabarisheni nijue kama jamaa ni mdau wa urembo na mwenyekiti wa maisha wa Miss Tanzania.
Pia anayejua juu katiba yao atuhabarishe jinsi wanavyochagua viongozi wao, isije watu wakawa wameshafanya Miss Tanzania mradi wao wa kimaisha.
Kwanza mi sina ufahanu zaidi juu ya masuala ya urembo pamoja na kamati hii ya Miss Tanzania, tatizo langu ni tangu nianze kusikia urembo nchini hili jina la huyu Mzee Lundenga lipo kila siku, hivi huwa anachaguliwa au ndiyo mwenyekiti wa maisha?
Ukisikia Ludenga basi ujue shughuli ya ma miss imeanza, nihabarisheni nijue kama jamaa ni mdau wa urembo na mwenyekiti wa maisha wa Miss Tanzania.
Pia anayejua juu katiba yao atuhabarishe jinsi wanavyochagua viongozi wao, isije watu wakawa wameshafanya Miss Tanzania mradi wao wa kimaisha.