Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
- Thread starter
- #21
hahaaaaa..labda macho ya jamaa yanaona kilichomo ndani ya ngu0o
ukichora mstari......macho yanaangalia kwenye VIUNGO VYA UZAZI
hahaaaaa..labda macho ya jamaa yanaona kilichomo ndani ya ngu0o
ukichora mstari......macho yanaangalia kwenye VIUNGO VYA UZAZI
nani amuondoe? halafu aende wapi?Lundenga anatakiwa aondoke na aje mtu mwingine mwenye mawazo mapya. Huenda yeye ndio kikwazo cha warembo wetu kutofanya vema huko ktk miss world. Amekaa hapo miaka nenda miaka rudi na hamna lolote. It's time for a fresh blood, fresh ideas, fresh vision. La sivyo kama huyu mtu ataendelea kungangania hapo basi warembo mtakuwa hamna jipya
<br />nani amuondoe? halafu aende wapi?
so the guy is not going anya where ....hes there to stay...let him enjoy ..its his timeLundenga ndie mmiliki wa hiyo kampuni ya Rhino na ndo alodaka kandaras ya kuwa'assess watoto wenye tamaa ya MAISHA,
nani? lundenga? mwe...Mzuriii
hiyo nimeipenda sana....hata mimi nakuunga mkono..huyu jamaa ni kiboko.
ukichora mstari......macho yanaangalia kwenye VIUNGO VYA UZAZI