johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,123
Sijaelewa kama hizi ni mbwembwe tu kwa sababu Uchaguzi mkuu umekaribia au ni kweli Wabunge hawa wanamaanisha kweli Mafisadi wanyongwe
Ila kwa kuwaangalia tu usoni ni Wazi kuna shida mahali ama CCM au Serikalini
Ila sidhani kama sheria inaruhusu Watenda Jinai kunyongwa
Ikumbukwe ukaguzi umefanyika kwa samples siyo Kwamba Serikali nzima imekaguliwa maana yake Wizi ni mkubwa kuliko tunavyofikiria
Nawatakia Sabato njema 😀
Ila kwa kuwaangalia tu usoni ni Wazi kuna shida mahali ama CCM au Serikalini
Ila sidhani kama sheria inaruhusu Watenda Jinai kunyongwa
Ikumbukwe ukaguzi umefanyika kwa samples siyo Kwamba Serikali nzima imekaguliwa maana yake Wizi ni mkubwa kuliko tunavyofikiria
Nawatakia Sabato njema 😀