Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 71,002 94,032 Sep 7, 2012 #1 Jamani mie ndio nimetoka supermarket na nimenunua hiki kitoweo, tayari kukipeleka kwa mke wangu measkron aniandalie lunch...naombeni mnishauri nipikiwe vipi hiki kitoweo? Attachments 4932.jpg 32.2 KB · Views: 680
Jamani mie ndio nimetoka supermarket na nimenunua hiki kitoweo, tayari kukipeleka kwa mke wangu measkron aniandalie lunch...naombeni mnishauri nipikiwe vipi hiki kitoweo?
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,175 Sep 7, 2012 #2 Ngoja nipate staftahi kwanza. Huyo samaki, lazima kichwa chake kinawatoa udenda wale wa akina 'idogi na ulanzi' Wasije wakala skirin za komputa zao bure Unakuta menyu pameandika 'dog ribs with rice' 'tree soup'?? au 'tree wine'??? eep:
Ngoja nipate staftahi kwanza. Huyo samaki, lazima kichwa chake kinawatoa udenda wale wa akina 'idogi na ulanzi' Wasije wakala skirin za komputa zao bure Unakuta menyu pameandika 'dog ribs with rice' 'tree soup'?? au 'tree wine'??? eep:
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 71,002 94,032 Sep 7, 2012 Thread starter #3 Kongosho said: Ngoja nipate staftahi kwanza. Huyo samaki, lazima kichwa chake kinawatoa udenda wale wa akina 'idogi na ulanzi' Wasije wakala skirin za komputa zao bure Unakuta menyu pameandika 'dog ribs with rice' 'tree soup'?? au 'tree wine'??? eep: Click to expand... duh! post yako inanikumbusha hili swali la kizushi, eti kati ya Wamakonde na Wachina nani anaongoza kwa kula vitu vya ajabu?
Kongosho said: Ngoja nipate staftahi kwanza. Huyo samaki, lazima kichwa chake kinawatoa udenda wale wa akina 'idogi na ulanzi' Wasije wakala skirin za komputa zao bure Unakuta menyu pameandika 'dog ribs with rice' 'tree soup'?? au 'tree wine'??? eep: Click to expand... duh! post yako inanikumbusha hili swali la kizushi, eti kati ya Wamakonde na Wachina nani anaongoza kwa kula vitu vya ajabu?
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,175 Sep 7, 2012 #4 Ha ha ha ha ha, ngoma droo watu8 said: duh! post yako inanikumbusha hili swali la kizushi, eti kati ya Wamakonde na Wachina nani anaongoza kwa kula vitu vya ajabu? Click to expand...
Ha ha ha ha ha, ngoma droo watu8 said: duh! post yako inanikumbusha hili swali la kizushi, eti kati ya Wamakonde na Wachina nani anaongoza kwa kula vitu vya ajabu? Click to expand...
Mamndenyi JF-Expert Member Apr 11, 2011 40,607 52,336 Sep 7, 2012 #6 mmmmh, ngoja waje wapishi wenyewe tuwasome.
Philipo Kidwanga JF-Expert Member Jul 12, 2012 2,042 599 Sep 7, 2012 #8 wahehe nafikiri watakua wanajua zaidi kuandaa huo msosi,tuombe mungu mkeo awe wa huko.
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,786 Sep 9, 2012 #10 Hapa chef mkuu X-PASTER anahusika. Mie ntakata kachumbari Last edited by a moderator: Jan 4, 2016