Lunch mchana wa leo: Nipikiwe vipi hiki KITOWEO?

Watu8

Platinum Member
Feb 19, 2010
71,002
94,032
Jamani mie ndio nimetoka supermarket na nimenunua hiki kitoweo, tayari kukipeleka kwa mke wangu measkron aniandalie lunch...naombeni mnishauri nipikiwe vipi hiki kitoweo?

 

Attachments

  • 4932.jpg
    32.2 KB · Views: 680
Ngoja nipate staftahi kwanza.

Huyo samaki, lazima kichwa chake kinawatoa udenda wale wa akina 'idogi na ulanzi'
Wasije wakala skirin za komputa zao bure

Unakuta menyu pameandika 'dog ribs with rice'

'tree soup'?? au 'tree wine'???

eep:
 
Ngoja nipate staftahi kwanza.

Huyo samaki, lazima kichwa chake kinawatoa udenda wale wa akina 'idogi na ulanzi'
Wasije wakala skirin za komputa zao bure

Unakuta menyu pameandika 'dog ribs with rice'

'tree soup'?? au 'tree wine'???

eep:

duh! post yako inanikumbusha hili swali la kizushi, eti kati ya Wamakonde na Wachina nani anaongoza kwa kula vitu vya ajabu?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…