Mmmmmmmm mwaka huu ninalo sio kashata ipo kama nyama likini sio nyama
tiririka mkuu nini hiyo sasa... limbwata au?? unatuikaribisha ili na sisi tunase???
Mmmmmmmm mwaka huu ninalo sio kashata ipo kama nyama likini sio nyama
tiririka mkuu nini hiyo sasa... limbwata au?? unatuikaribisha ili na sisi tunase???
hii chakula mkuu ngoja Katavi na It is Sur_Plus waje uone wanavyo Dondosha mate
Sio nyama wala nini, hiyo ni chakula asili ya wafipa......kama soseji ya kienyeji.
aahhh kutoka ufipa tena... sigusi nyie mnasifika kwa ndumba.. balaa
Ha ha ha haaaah!! Acha uoga wewe Bagamoyo, Kigoma na sehemu nyingine hakuna ndumba??
najua mkuu ila nasikia nyie ndio mnaongoza.... nyie ndio wakina gadiola na Josee morinyo
Sio kweli...
mkuu unakata bure.... lakini nasikia mnaheshimiana sana huko manake kila mmoja ni mkali anaweza kumgeuza mwenzake nungunungu... au noah, kama mlivyomjaribu Mizengo bado kidogo awe mamba...