mkuu hii picha si wameonesha tu jinsi itakavyokuwa, kwasasa hajabadilika kuwa mwekundu.ngoja niweke picha nilizopiga kwa camera yangu yenye 10.1 megapixels
Nilibahatika kuona with my naked eye... kwa alie ona it was beutiful...
Ni kama vile sayari nyingine ilikua close to mother earth... I wished ningekua na a
qualified camera nipige we my eye...