'Lumumba buku 7' ni ajira rasmi?

'Lumumba buku 7' ni ajira rasmi?

Mkuu mtafute Lizaboni , Hodaya na Wakudavuvua hawa ndiyo wasimamizi wakuu.
Ila ukubali kuisifia ccm na kuiponda chadema. Mkulu hata akinya juu ya meza ww uwe tayari kushangilia kwa makofi,
juz walisajir majembe 2 URIO NA MAKUSIDICALLY Haya ukaba mpaka penalt. Kila la kheri.
POLE SANA UMEANGUKIA KWENY UTAWALA WA DIKITETA UCHWARA INGEKUWA WA KIKWETE UNGEKUWA CHUO NA UNAKULA BOOM LAKO
Kikwete ana roho nzuri sana ndiyo maana mm nilipata mkopo. Ila huyu mweny akili za kimaskin sasa hiv makato ni 15% ni tabu sana
 
Naunga mkono hoja hata mimi wameninyima mkopo nipo tayali kulamba seven book
 
MOTOCHINI na wanzako majibu fadhali.
Motochini mzee wa ACT siku hizi kalamba kitengo CCM anaingia humu kwa nadra sana. Alichokuwa anatafuta kishapata, ndo maana jukwaa limepwaya .
Sawa mzee baba kwa kifupi itakuwa ni political jokes tu nimekupata
mkuu huyo ni mmoja wao akupe jibu lililonyooka aache kujitoa kiana .
 
Mkuu mtafute Lizaboni , Hodaya na Wakudavuvua hawa ndiyo wasimamizi wakuu.
Ila ukubali kuisifia ccm na kuiponda chadema. Mkulu hata akinya juu ya meza ww uwe tayari kushangilia kwa makofi,
juz walisajir majembe 2 URIO NA MAKUSIDICALLY Haya ukaba mpaka penalt. Kila la kheri.
POLE SANA UMEANGUKIA KWENY UTAWALA WA DIKITETA UCHWARA INGEKUWA WA KIKWETE UNGEKUWA CHUO NA UNAKULA BOOM LAKO
Kikwete ana roho nzuri sana ndiyo maana mm nilipata mkopo. Ila huyu mweny akili za kimaskin sasa hiv makato ni 15% ni tabu sana
Sawa mkuu ila mimi ndio nimemalza kidato mwaka huu
 
Mkuu mtafute Lizaboni , Hodaya na Wakudavuvua hawa ndiyo wasimamizi wakuu.
Ila ukubali kuisifia ccm na kuiponda chadema. Mkulu hata akinya juu ya meza ww uwe tayari kushangilia kwa makofi,
juz walisajir majembe 2 URIO NA MAKUSIDICALLY Haya ukaba mpaka penalt. Kila la kheri.
POLE SANA UMEANGUKIA KWENY UTAWALA WA DIKITETA UCHWARA INGEKUWA WA KIKWETE UNGEKUWA CHUO NA UNAKULA BOOM LAKO
Kikwete ana roho nzuri sana ndiyo maana mm nilipata mkopo. Ila huyu mweny akili za kimaskin sasa hiv makato ni 15% ni tabu sana
Umemsahau jingalao
 
NAMIMI NATAKA waniajiri ili nipate Siri za huko nizilete CHADEMA, Sina haja na vihela vyao because am not poor person
Yaani umeandika kama vile unaamini huko waliko ndio Lumumba na hapa ndio Chadema. Kweli Jf ilikuwa zamani!!
 
Wakubwa zangu, nawasalimu. Natumai mu wazima wa afya.

Naomba niwaulize wakuu zangu wanaJF...

Huwa naona humu mara nyingi sana watu wakiongea kuhusu "Lumumba Buku 7". Je, hii ni ajira rasmi?

If YES, recruitment yake ipoje? Required key qualifications ni zipi?

Nimekuwa selected for Admission kwenye Chuo, ila nimekosa mkopo wa Heslb. Na nipo jobless. Ndiyo nikakuna kichwa na kupata wazo... nikaikumbuka hii 'Lumumba Buku 7'. Kama kweli ni ajira rasmi ya CCM, basi mie najitosa huko wakuu. Nikizimeki hizo buku 7 on 'strictly saving' basis... after a year navunja kibubu and surely nitakuwa na kitita cha kwenda chuo chikuu kubukua.

Kitaani kunazidi kuwa kugumu. Watu tunapumulia pua moja. It is now a time to embark on plan B. Maanake tusije mwishoe tukaanza kupiga watu ngeta na kuvizia hand bags za wadada mtaani.

Intention to join 'Lumumba Buku 7'... my plan B.

With due respect... I humbly submit.

-Kaveli-
Ni ajira rasmi , wasiliana na kiongozi wao mkuu aitwaye VUTA NKUVUTE au makamu wake aitwaye Msemaji ukweli .

Tatizo ni je hizo elfu 7 utakazopewa zitaweza kulipia mkopo wa chuo ?
 
Ni ajira rasmi , wasiliana na kiongozi wao mkuu aitwaye VUTA NKUVUTE au makamu wake aitwaye Msemaji ukweli .

Tatizo ni je hizo elfu 7 utakazopewa zitaweza kulipia mkopo wa chuo ?
Haiwezi kabisa
 
Hii imerudi kwa style nyingine now wanalipwa 20,000/= kwa kusambaza jumbe zenye # ya kumsifia Mama Kizimkazi
 
Wakubwa zangu, nawasalimu. Natumai mu wazima wa afya.

Naomba niwaulize wakuu zangu wanaJF...

Huwa naona humu mara nyingi sana watu wakiongea kuhusu "Lumumba Buku 7". Je, hii ni ajira rasmi?

If YES, recruitment yake ipoje? Required key qualifications ni zipi?

Nimekuwa selected for Admission kwenye Chuo, ila nimekosa mkopo wa Heslb. Na nipo jobless. Ndiyo nikakuna kichwa na kupata wazo... nikaikumbuka hii 'Lumumba Buku 7'. Kama kweli ni ajira rasmi ya CCM, basi mie najitosa huko wakuu. Nikizimeki hizo buku 7 on 'strictly saving' basis... after a year navunja kibubu and surely nitakuwa na kitita cha kwenda chuo chikuu kubukua.

Kitaani kunazidi kuwa kugumu. Watu tunapumulia pua moja. It is now a time to embark on plan B. Maanake tusije mwishoe tukaanza kupiga watu ngeta na kuvizia hand bags za wadada mtaani.

Intention to join 'Lumumba Buku 7'... my plan B.

With due respect... I humbly submit.

-Kaveli-
95% ya Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya wametoka buku 7 fc
 
Back
Top Bottom